Tekla Kagera.

Tekla Kagera. Tekla Kagera shirika lisilo la kiserikari linalowahudumia watu wenye ulemavu (watoto, Vijana na Wanawake)

"Shauku yetu ni kuona mwanamke na msichana mwenye ulemavu akipewa kipaumbele kikamilifu katika fursa za kijamii na uongo...
17/04/2026

"Shauku yetu ni kuona mwanamke na msichana mwenye ulemavu akipewa kipaumbele kikamilifu katika fursa za kijamii na uongozi" Mwl. Jackilini mwenyewe wa mradi wa wa kutambua haki za mwanamke na msichana mwenye ulemavu mkoa wa kagera.

Baadhi ya wanafunzi wakipata mafunzo juu ya kutetea haki za wasichana na wanawake wenye ulemavu
16/04/2026

Baadhi ya wanafunzi wakipata mafunzo juu ya kutetea haki za wasichana na wanawake wenye ulemavu

Mkuu wa wilaya ya Bukoba Ndg. Erasto Sima akiwa na viongozi mbalimbali pamoja na k**ati ya siasa wilaya katika kukabidhi...
09/10/2025

Mkuu wa wilaya ya Bukoba Ndg. Erasto Sima akiwa na viongozi mbalimbali pamoja na k**ati ya siasa wilaya katika kukabidhi vifaa vifaa kwa watu wenye ulemavu kwa niaba ya shirika la Tekla Kagera. Katika shule ya msingi tumaini.


.

06/08/2025

Ni katika ufunguzi wa mradi wa kutetea haki za wanawake na wasichana wenye ulemavu mkoani kagera manispaa ya Bukoba ambapo walishirikishwa pia watoto wenye ulemavu na viongozi kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa wa kagera Bi. Ajjat Fatima Mwassa.
.

Ni baadhi ya viongozi wa mradi wa kutambua haki za wanawake na wasichana wenye ulemavu  wakiwa ndani ya   lengo likiwa n...
30/07/2025

Ni baadhi ya viongozi wa mradi wa kutambua haki za wanawake na wasichana wenye ulemavu wakiwa ndani ya lengo likiwa ni kutoa elimu juu ya jamii kuwa na muitikio wa kutambua haki za watu wenye ulemavu Kagera.

"Tuwalinde, Tuwainue – Wasichana na Wanawake Wenye Ulemavu Wana Haki Sawa!"Leo tumeungana na Mkuu wa Wilaya ya Missenyi ...
10/07/2025

"Tuwalinde, Tuwainue – Wasichana na Wanawake Wenye Ulemavu Wana Haki Sawa!"

Leo tumeungana na Mkuu wa Wilaya ya Missenyi kwa ajili ya kuzungumzia jambo nyeti na la muhimu – ulinzi na ustawi wa wasichana na wanawake wenye ulemavu.

Katika jamii yetu, kila mmoja anastahili heshima, upendo na fursa sawa – bila ubaguzi. Lakini bado wasichana na wanawake wenye ulemavu hukumbwa na changamoto kubwa zaidi k**a ukatili wa kijinsia, kutengwa na kukosa huduma muhimu.

🤝 Tukiwa na uongozi makini wa Wilaya, tunasema hapana kwa ukatili, ubaguzi na unyanyapaa!

🦋 Tuwape nafasi ya kuota, kuishi kwa amani na kujenga ndoto zao.
📢 Sauti yao ni muhimu. Maendeleo ni ya wote – bila kuwaacha nyuma.





Baadhi ya wanawake na wasichana wenye ulemavu wakiwa katika mafunzo ya utetezi na ushawishi lengo likiwa kuwapa uelewa j...
19/06/2025

Baadhi ya wanawake na wasichana wenye ulemavu wakiwa katika mafunzo ya utetezi na ushawishi lengo likiwa kuwapa uelewa juu ya kujua haki sheria na wajibu wao katika jamii na nchi kwa ujumla.

Tekla Kagera yakabidhi vifaa vyenye thamani ya shilingi million 8.6 kwa watoto wenye ulemavu kutoka katika shule 6 mkoaa...
04/06/2025

Tekla Kagera yakabidhi vifaa vyenye thamani ya shilingi million 8.6 kwa watoto wenye ulemavu kutoka katika shule 6 mkoaa wa kagera.

TBT KAGERA INAKUTAKIA HERI YA SIKUKU YA WAFANYAKAZI  DUNIAN
01/05/2024

TBT KAGERA INAKUTAKIA HERI YA SIKUKU YA WAFANYAKAZI DUNIAN

"Serikali inawatambua wenye ulemavu na inajua kabisa hujafa hujaumbika hivyo unapotoa kwa ajili ya wenye ulemavu unaweka...
01/11/2022

"Serikali inawatambua wenye ulemavu na inajua kabisa hujafa hujaumbika hivyo unapotoa kwa ajili ya wenye ulemavu unaweka hazina mbele ya Mungu"
Hayo yameelezwa na Naibu Waziri ,Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) aliyemwakilisha waziri mkuu Kassim Majaliwa, Patrobas Katambi

,

Umuhimu wa elimu jumuishi Ni mkubwa katika shule za ambazo wapo Watoto wenye ulemavu. .
29/06/2022

Umuhimu wa elimu jumuishi Ni mkubwa katika shule za ambazo wapo Watoto wenye ulemavu.
.

Address

Kachwamba
Bukoba
35104

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tekla Kagera. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Tekla Kagera.:

Share