Eben-Ezeri El Elohe Israel For All Nationals

Eben-Ezeri El Elohe Israel For All Nationals Grace of God,Power of healing from heaven, Word of God and deliverance

22/05/2026

KONGAMANO KUBWA LA SIKU NNE ZA KUKUTANA NA DAKTARI BINGWA WA MAGONJWA NA MARADHI YOTE "' YESU KRISTO '""


KUANZIA SIKU YA TAR; 28/05/2026 HADI TAR; 31/05/2026 WATU WA DINI ZOTE NA MATAIFA YOTE MNAKARIBISHWA .

HIVYO USIKIAPO SAUTI HII NA KUTAMBUA HABARI NJEMA YA UPONYAJI HUU MWAMBIE JIRANI YAKO ALIYE MGONJWA NA WENYE SHIDA MBALIMBALI KUWA WEWE SIYO KIBEGA AU STORE YA MAGONJWA YA SHETANI NA WACHAWI -- HIVYO TWENZETU KWA YESU TUKAONDOLEWE MIZIGO YA MAGONJWA NA MATESO YA SHETANI KUPITIA MTUMISHI WA MUNGU ALIYEPEWA NEEMA NA KARAMA YA UPONYAJI
""PROPHET JACKSON MAAJABU YA MUNGU""

NENO LA MUNGU LINASEMA HIVI KATIKA

Mathayo 14:35-36
[35]Na watu wa mahali pale walipomtambua, walituma watu kwenda nchi zile zilizo kandokando, wakamletea wote waliokuwa hawawezi;
[36]nao wakamsihi waguse hata pindo la vazi lake tu; na wote waliogusa wakaponywa kabisa.

UPAKO HUU UTAKUWA NDANI YA HEMA LA UPONYAJI JEHOCIFONA MINISTRIES ILIYOPO MKABALA NA SHULE YA SHILELA SECONDARY GEZAULOLE BOMANG'OMBE HAI KWA MAWASILIANO ZAIDI CALL; 0764304342

Wimbo " Solomon mkubwa "Wewe ni mwema""

02/04/2026

SOMO; UFAHAMU WA ROHONI JUU BARAKA ILIYOPATIKANA MSALABANI KUPITIA DAMU YA YESU KRISTO NA FAIDA ZAKE

""PASAKA hii ni zamu yako ya kutoka utumwani na kwenye vifungo mbali mbali vya siri jifunze pamoja nasi""

A... Nini maana ya pasaka kibibilia!!?
PASAKA ni Jina la aina ya Sadaka na siyo sikukuu ya kula na kunywa K**a wengi wanavyofikiri!
1Korintho; 5:7
KUTOKA 12:1-13

B.... PASAKA ni siku au Mlango wa kutoka kwenye utumwa wa magonjwa-- vifungo--mateso/ magerwza ya kiroho/laana za kichawi nk. maana aliyekushikilia atahukumiwa na Bwana
KUTOKA 12:1-14

C... PASAKA ni Mlango wa ufufuo wa vilivyokufa maishani mwako; ndoa--uchumi-- afya-- kazi za mikono-- familia--ufugaji kilimo nk.


🔍 Maana ya Ufahamu wa Rohoni
Ufahamu wa Rohoni ni uwezo wa roho ya mwanadamu kupewa nuru na kuelewa mambo ya Mungu, ulimwengu wa roho, na ukweli wa ndani ambao hauonekani kwa macho ya kawaida.

Kwa lugha rahisi:
👉 Ni uelewa unaotoka kwa Roho Mtakatifu, sio akili ya kawaida (logic ya kibinadamu)

1--- Ufahamu juu ya damu ya Yesu Kristo iliyotoka kichwani kwa kutobolewa na taji ya miiba na faida zake (baraka za msalaba kutokea kichwani)

MATHAYO 27:/51-53

A... Damu hiyo ya kichwani;ilibeba nguvu au upako wa kuondoa laana na adhabu ya Mungu juu ya ardhi iliyolaaniwa kwa sababu ya dhambi ya kutokukutii sauti ya Mungu pale edeni

MWANZO 3:17

MATHAYO 27:29-31

B... Damu ya Yesu Kristo iliyotoka kichwani pia ilibeba nguvu au upako wa kuondoa adhabu ya kiuchumi/kifedha kwa sababu ya dhambi ya kutokutii Neno la Mungu na kulitekeleza

MWANZO 2:15-17

C... DAMU ya Yesu Kristo iliyomwagika kutoka kichwani ilibeba nguvu au upako wa urejesho wa nguvu ya ufahamu wa kimungu-- nguvu ya kiakili-- maamuzi ya kimungu na mawazo ya kimungu

KOLOSAI 3:1-3

Maana Kuna mambo adui huyafanya kwenye akili ili kubana akili-- ufahamu--maamuzi --mawazo na fikra za mtu wa ndani

2Kor; 4:3-4

2Kor; 11:3

Mwanz; 3:1-15

Kumbuka watu wenye ufahamu--maarifa akili za ubunifu ndiyo watu wanaolipwa mishara mikubwa duniani hivyo ni muhimu Pasaka hii ufufuke kiakili--kiufahamu-- kimaamuzi --kifkra na kimawazo; hizo ndizo faida ya damu ya pasaka iliyobeba baraka za msalaba na faida zake

""MAOMBI YA KIPENGELE HIKI"'

Ninakushukuru Mungu uliye Hai kwa kumtoa mwanao wa pekee; Yesu Kristo aliye Hai--- kwa ajili ya Kuitoa dhabihu na sadaka ya pasaka Kwa ajili ya ondoleo la dhambi zetu; na kila laana na Kila adhabu ya kutokulitii Neno lako juu ya ardhi mama iliyonizaa; ardhi mama ninayoishi na kuifanyia kazi/biashara nk. Ee Bwana nirehemu na kunisamehe mtumishi wako (taja majina yako K**a utambulisho wako wa kiroho) .......... maana damuni mwako nimepokea msamaha wa dhambi na Ukombozi tangu Leo; naialika na kuilekeza damu ya msalaba iliyotoka kichwani mwa Yesu iniondolee adhabu na laana ya kula kwa jasho -- laana ya michongoma na miiba toka Kwa Mungu; laana; Laana ya zuio la kiuchumi na kifedha laana iliyokaa kihalali ya juu ya uso wa ardhi mama iliyonizaa umeniondolea leo kwa sadaka ya pasaka sawa sawa na Neno lako la 1KOR 5:7

MWANZO 3:17 MWANZO 2:15-17 Na damu hii iliyomwagika kutoka kichwani pako inirejeshee nguvu ya ufahamu-- nguvu ya kiakili-- nguvu ya kimaamuzi -- nguvu ya kifikra na kimawazo ; inirejeshee tena utukufu wako ulioniondolea Kwa sababu ya dhambi ya asili ya babu yetu Adam wa kwanza; Yesu pia kwa Kuniondolea zuio la kiuchumi-- kupitia Damu ya msalaba toka kichwani mwa Yesu Kristo tangu Leo sitakula Kwa ajili jasho wala michongoma na miiba haitakuwa sehemu ya kazi ya mikono yangu

"" WAEFESO 1:7

Sali Sala hiyo Kwa Imani Kisha kesho nitakuletea faida ya pili kutokea msalabani kutokana na damu na maji yaliyotoka ubavuni mwa Yesu;

Imeletwa kutoka madhabahu ya JEHOCIFONA MINISTRIES chini ya mpakwa mafuta wa Bwana; Apostle & Prophet Jackson Nelson Nyantamba pia unaweza kuwasiliana Moja Kwa Moja kwa 0764-3043-42 kwa msawali na majibu zaidi

24/12/2025

Madhabahu ya Sauti ya Uponyaji Kilimanjaro Tanzania iliyopo
chini ya Apostle & Prophet Jackson Maajabu Ya Mungu...a.k.a
(Voice of Healing Kilimanjaro) inakukaribisha katika ibada ya mkesha wa kuvuka mwaka kabla ya kuvuka Leo J/tano jioni ya saa tatu usiku usipange kukosa
Njoo na familia yako na ndg; jamaa; rafiki jirani tuabudu pamoja na kupokea Neno la unabii wa mwaka 2026 ili kupokea baraka za kiroho; tupo mkabala na geti la Shule ya Shilela Secondary gezaulole
YOH; 1:3
Call; 0764-30-43-42
Call; 0714-29-54-05

29/11/2025

Mungu akaibarikia siku ya saba;
MWANZO 2:1-3
Usipange kukosa ibada kila wakati Mungu ni mwema kila wakati
By Apostle & Prophet Jnn

29/11/2025

IBADA YA YA UPONYAJI WA KIUNGU NA MIUJIZA YA KUPITA KAWAIDA YA AKILI ZA WANADAMU J/PILI HII YA MWISHO WA MWEZI WA KUMI NA MOJA TAR; 30/11/2025 "MATENDO 19:11-13"

Usipange kukosa ibada hii ya miujiza na uponyaji wa kiungu kwa watu wa mataifa yote;
Njoo ukutane na mtu mkuu wa Mungu; Apostle & Prophet Jackson Maajabu ya Mungu; aliyepewa neema na kibali na mamlaka ya kuponya na kuwafungua watu wa mataifa yote na wagonjwa na wenye maradhi wataponywa na Bwana kupitia mikono ya Apostle & Prophet Jackson
LUKA 9:1-2
Kuanzia saa nne 10:00am asubuhi na kuendelea; waleteni wagonjwa na wenye maradhi na wote waliofungwa na nguvu za giza nao watafunguliwa na kuwekwa huru kwa jina la Yesu Kristo aliye Hai
ni pale pale mtaa wa gezaulole mkabala na shule ya Shilela Secondary; Boma Hai Kilimanjaro Tanzania

Haya ndiyo tafsiri ya Kiingereza ya maandishi yako:

SECOND SUNDAY SERVICE OF THE LAST WEEK OF NOVEMBER
DATE: 30/11/2025

Do not plan to miss this service of miracles and divine healing for people of all nations.
Come and meet the great servant of God, Apostle & Prophet Jackson Maajabu ya Mungu, who has been given grace, favor, and authority to heal and set free people of all religions (all nations).
The sick and those with diseases will be healed by the Lord.
LUKE 9:1–2

Starting from 10:00 a.m. in the morning onwards.
The venue is right opposite Shilela Secondary School, Boma Hai, Kilimanjaro, Tanzania.

29/11/2025

IBADA YA J/PILI YA MWISHO WA MWEZI WA KUMI NA MOJA TAR; 30/11/2025

Usipange kukosa ibada ya miujiza na uponyaji wa kiungu kwa watu wa mataifa yote;
njoo ukutane na mtu mkuu wa Mungu; Apostle & Prophet Jackson Maajabu ya Mungu; aliyepewa neema na kibali na mamlaka ya kuponya na kuwafungua watu wa dini zote (mataifa yote) wagonjwa na wenye maradhi wataponywa na Bwana
LUKA 9:1-2
Kuanzia saa nne 10:00am asubuhi na kuendelea;
nipale pale mkabala na shule ya Shilela Secondary; Boma Hai Kilimanjaro Tanzania

29/11/2025

The Altar of “Eben-Ezeri-El-Elohe For All Nations,” located in the town of Bomang'ombe, Hai–Kilimanjaro, Tanzania, welcomes people of all religions and from all nations to receive healing and deliverance from the bo***ge of sicknesses and covenants of the evil one, the devil.

You will be delivered from the bo***ge of various illnesses and diseases — family-related, witchcraft-related, and more.

You will encounter the mighty hand of God performing extraordinary miracles through Apostle and Prophet Jackson Nelson Nyamtamba, who has been given grace and authority to heal various diseases and to deliver all those bound by the powers of darkness.
Luke 9:1–2 — Acts 19:11–13 — Acts 5:12–16

For more information or directions to our location, you may contact:
+255 0764-304342 — +255 0714-295405

10/11/2025

Call; 0764304342-- 0714295405

13/04/2025

UJUMBE AU TANGAZO KUTOKA UFALME W MBINGUNI

TOBA -- TOBA -- TOBA JUU ARDHI YA TANZANIA NA MIKOA YOTE IFANYE TOBA LA SIVYO LAMGAMBO LITALIA

NIMEFUNULIWA JAMBO AMBALO LITATOKEA HARAKA JUU TAIFA LA TANZANIA HASWA MKOA MANYARA NA GEITA K**A HATUTATUBIA UOVU HUO MBELE ZA BWANA

ADHABU AU PIGO LA TETEMEKO KUBWA SANA AMBALO HALIJAWAHI KUTOKEA LITATOKEA KUTOKA KWA BWANA NA KUIGHARIMU TAIFA LA TANZANIA NA WATU WAKE NA MALI ZAO TETEMEKO HILO LITALETWA JUU YA NCHI YA TANZANIA KWA SABABU YA DHAMBI YA DHULUMA -- RUSHWA NA UASHERATI NA UZINZI -- NA ULEVI NA DHAMBI YA UTOLEWAJI WA SADAKA ZA DAMU ZA WATOTO WADOGO KUWA SADAKA KWA MASHETANI KWENYE MAENEO YA MIGODI YA DHAHABU NA KWINGINEKO JUU YA ARDHI YA TANZANIA

TETEMEKO HILO LITALETA UHARIBIFU MKUBWA HADI MAGARI YALIYOKO BARABARANI YATAKUMBWA NA PIGO HILO NA MAJENGO YA IBADA YAPO YATAKAYOKUTWA NA ADHABU HII K**A HATUTAOMBA KWA BIDII KWA KUOMBA TOBA YA KWELI JUU YA MAMBO HAYO NILIYOYAELEZEA HAPO JUU

2NYAKATI 7:14-15-- MATENDO 3:19 UFUNUO 2:5 ZABURI 106:36-40
EZEKIEL 38:19-20
TUMA UJUMBE HUU KWA NDG,JAMAA MARAFIKI ILI KUUNGAMA DHAMBI HII KATIKA IBADA MBALI MBALI J/PILI YA LEO

Imeletwa kwenu na Prophet Jnn. Kutoka kilimanjaro: Tar; 13/04/2025

Address

48000
Boma La Ngombe

Telephone

+255764304342

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Eben-Ezeri El Elohe Israel For All Nationals posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Eben-Ezeri El Elohe Israel For All Nationals:

Share