Boanerge Chapel International Ministries.

Boanerge Chapel International Ministries. -B.C.I.M Is a Spiritual Church.

-B.C.I.M Is a ministry that reaches a different people over the World.

22/01/2022

"Mungu kwetu sisi ni kimbilio na Nguvu,
Ni msaada utakao onekana tele Wakati wa mateso"

Zaburi 46:1-3.

15/05/2021

"MTUMAINI BWANA:"

- "Heri mtu yule asiyekwenda katika shauri la wasio haki,
- Wala hakusimama katika njia ya wakosaji;
- Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha .

- Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo , NA Sheria yake huitafakari mchana na usiku.

- Naye atakuwa k**a mti uliyopandwa kando kando ya vijito vya maji, Uzaao matunda yake kwa majira yake, Wala jani lake halinyauki.
- NA Kila alitendalo LITAFANIKIWA"

- ZABURI 1:1-3..

SHALOM! SHALOM!

02/04/2021

"Nao waliyomk**ata Yesu wakampeleka kwa Kayafa, kuhani mkuu, walikokuwa wamekutanika waandishi na wazee."

Mathayo 26:57

2021 "This is a year that the Lord has proclaim that He will gives you."
31/12/2020

2021

"This is a year that the Lord has proclaim that He will gives you."

31/12/2020

As it remain few minutes to receive a new year of 2021
God will reward you another year and grants you more grace.

Happy New Year

31/12/2020

'Prophetic Notice'
Coming Soon,
Be ready to receive it.

31/12/2020

-Mwaka wa 2021 ukawe ni mwaka wa Urejesho,

-Uwe ni Mwaka wa Faraja.

-Kila aliyekuwazia mabaya yakageuke kuwa mema katika 'Jina la YESU'

23/03/2020

-Tarehe 23/03/2020

-Siku: Jumanne.

- Muda: 00:21

-By Pastor & Prophet
Bash*te B. Kado.

"MAOMBI MAALUMU KWA AJILI YA KULIOMBEA TAIFA LA TANZANIA, AFRIKA NA DUNIA NZIMA DHIDI YA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UGONJWA WA CORONA (COVID-19)"

Utangulizi:

Mungu wetu ni wa rehema, anatambua majira, na nyakati
Imeandikwa katika ile
Zaburi 46:1-4 ikisema
"Mungu kwetu sisi ni kimbilio na Nguvu ni msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso"

-Maana tupo katika kipindi Cha mateso, ni kipindi cha Mungu wetu kuwa kimbilio letu.

Watanzania tuamke tuliombee Taifa letu na nikiwa K**a mtumishi wa BWANA Ninaomba tushirikishane katika maandiko yafuatayo.

Covid-19 (Corona virus.)
HALITALISHINDA KANISA:

Mathayo 16:16-19.
"...Simon petro akajibu akasema, Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai,

-Yesu akajibu Akamwambia Heri wewe simoni Baryona kwa kuwa Mwili na damu havikufunuliwa hili bali Baba yangu aliye mbinguni.

-Nami nakuambia 'wewe ndiwe petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu Wala milango ya kuzimu HALITALISHINDA."

-Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni na lolote utakalolifunga Duniani litakuwa limefungwa mbinguni na lolote litakalofunguliwa Duniani litakuwa limefunguliwa na mbinguni"

MAANA YAKE NI NINI!?

-Ugonjwa wa Covid-19 (corona virus) ni mlango wa kuzimu hivyo Kanisa lazima liushinde katika Jina la Yesu,

-Kanisa limejengwa juu ya mwamba na hakuna Covid-19 (Corona virus) litaiweza kanisa Hilo haliwezekani hata kwa dawa.

-Ninasimama K**a Mtumishi wa BWANA kuwa Covid-19 (Corona virus) haiwezi kulifunga kanisa Bali kanisa litaifunga Covid-19 (Corona virus) katika Jina la Yesu.

-Pia tunakwenda kusimamia katika kile kitabu Cha

2Wakorintho 10:3-5.

"Maana ingawa tunaenenda katika Mwili hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili,
(Maana silaha za vita vyetu si za mwili Bali Zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome).

-Tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu na tukiteka nyara kila fikira ipate kumtii Kristo.

Covid-19 (Corona virus) ni ngome ya adui kudhoofisha utendaji wa BWANA katika Ibada na makanisa ya Mungu.

-Hivyo tunaangusha ngome zote za Virusi hivi vya Corona katika Jina la Yesu.

-Kila fikira iliyojengwa kupitia hili Gonjwa la Covid-19 (Corona virus) tunaiteka katika Jina la Yesu.

-Na kuanzia sasa hii Covid-19
(Corona virus) ninaiamuru kutii Jina la Yesu.

2Nyakati 20:5-9.

"Yehoshafati akasimama kati ya kusanyiko la Yuda na Yerusalem, nyumbani mwa BWANA, mbele ya ua mpya, Akasema Ee BWANA Mungu wa Baba zetu si wewe uliye Mungu mbinguni?!
-Tena si wewe utawalaye falme zote za mataifa?!

-Na mkononi mwako mna uweza na Nguvu asiweze mtu yeyote kusimama kinyume chako.

-Si wewe Ee Mungu wetu uliyewafukuza wenyeji wa nchi hii mbele ya watu wako Israeli, ukawapa wazao wa Ibrahimu rafiki yako hata milele?!

-NAO Walikaa humo, wamekujengea patakatifu pa Jina lako humo wakisema,
'Yakitujia mabaya, Upanga, upanga, hukumu, au turn it au njaa, tutasimama mbele ya nyumba hii na mbele zako,
(Maana Jina lako limo katika nyumba hii), na kukulilia katika shida yetu, Nawe utasikia na kuokoa.

Maana yake Nini?!

Mfalme yehoshafati alimlilia BWANA katika shida zao na kuiweka nyumba ya BWANA kuwa ndipo makimbilio yao Maana Jina lako limo ndani ya nyumba yako.

-Leo iweje nyumba ya BWANA ifungwe kwa sababu ya Covid-19 (Corona virus)

KANISA Ndiyo nguzo la Taifa,
Kamwe Covid-19 (Corona virus) haliwezi kulifunga kanisa Bali kanisa litaifunga Covid-19 (Corona virus) katika Jina la Yesu.

Amen.
By Bash*te B. Kado.
BCIM Ministries

"NENO Moja nimelitaka kwa BWANA nalo ndilo nitakalolitafuta nikae nyumbani mwa BWANA siku zote niutafakari uzuri wa BWAN...
24/02/2020

"NENO Moja nimelitaka kwa BWANA nalo ndilo nitakalolitafuta nikae nyumbani mwa BWANA siku zote niutafakari uzuri wa BWANA..

Maana yeye atanisitiri bandarini mwake"

ZABURI 27:3-5

11/12/2019

-December 11,2019
-Siku: Jumatano,

NENO LA KINABII:📚📝⛪

Katika kile Kitabu cha
KUTOKA 14:13-14

kinasema.....

"Musa Akawaambia watu Msiogope Simameni mkauone wokovu mkuu wa BWANA aliyo waandalia,
Kwa maana hao wa Misiri mnaowaona hivi leo hamtawaona tena, Milele,

-BWANA atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya."

-Nami natamka sasa zile Balaa/Shida/Magonjwa/ Taabu ulizozipitia mwaka wa 2019, Kwa mwaka wa 2020 hautaziona tena milele...✓

11/12/2019

"Mwaka wa 2020 ukawe ni mwaka wa kutimiza yote uliyoyapanga ndani ya mwaka huu katika Jina la Yesu"

10/12/2019

Address

Tungutungu Centre.
Bagamoyo

Telephone

+255689667792

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Boanerge Chapel International Ministries. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share