NJIA YA UZIMA

NJIA YA UZIMA is about to learning True the word of God

21/01/2024
11/08/2023

Ukweli sio kwamba vitabu vya mafumbo kuwa Ni Daniel ,ufunuo na wimbo ulio Bora ...tu✍️
mpaka ...πŸ“–πŸ‘ˆ ...rejea zaburi 92:5...inaweka wazi kuwa mawazo ya Mungu Ni mafumbo makubwa ✍️😊

Pengine anasema mawazo yangu sio yenu Wala njia zenu si njia zangu kwa mfano wa mbingu zilivyo juu Sana na nchi .

Wewe Ulimwengu unatazama huu πŸŒπŸ‘ˆ kuwa ndio uumbaji utajwao katika kitabu Cha mwanzo πŸ˜“β€ΌοΈ

Unasoma huku unasahau kuwa yeye hatazami kimwili K**a wewe huu πŸŒπŸ‘ˆβŽπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒβ€ΌοΈβœοΈ

Mungu hutazama Mambo ya mbingu na nchi ktk upya na sio ukale huu wa kuonekana mfano huu πŸ‘‰πŸŒ , jua 🌞 mwezi πŸŒ™ na Nyota 🌟 ,na miti 🌲🌡🌴 🌳 na matunda haya πŸŽπŸ’πŸ“πŸ‰ Na maji hayo ujuayo ,na Moto πŸ”₯ uujuao, na kiberiti ujuacho nk...

Yote yapasa mtu ujifinze njia ya Bwana kiroho upate kumjua na kuokolewa kutoka ktk gereza la Maandiko✍️😊

Warumi7:6✍️

K**a hujafa kufa tu ndipo utamwona Mungu nje na hapo atakupinga siku zote kwa Hali ya zamani unayoitumikia.

SautiInatosha πŸ”Š

EveryoneEveryone

Nuhu πŸ‘‡akaambiwa na Mungu hivi         πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ πŸ‘‰β€œ  chakula cha kila namna  , ukakusanye, nacho kitakuwa ni chakula che...
19/06/2023

Nuhu πŸ‘‡akaambiwa na Mungu hivi

πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
πŸ‘‰β€œ chakula cha kila namna , ukakusanye, nacho kitakuwa ni chakula chenu na chao.”
β€” Mwanzo 6:21

Siku 40 na point zake , WADHANI kilikuwa chakula Gani Nuhu alichokusanya Kwa ajili ya mifugo yote Tena MIKUBWA Kwa midogo ❓
Akina tembo , twiga , ng'ombe , mbuzi , nyati
Nyoka , akina Simba , chui , fisi ,MBWEHA hivi mnatambua ulaji wa wanyama hao WADHANI ni chakula Gani hicho ❓❓❓❓❓❓
Wadhani Nuhu alishare chakula Gani ambacho Simba atakula na Nuhu atakula au Nyoka atachokula na Nuhu na familia yake walikula β“πŸ˜…
Mimi nayapima mambo Kwa Hekima ya Kibinadamu Kwa dalili za Nguvu za Roho ,
Je wewe uliye na Yesu , Yesu anakufunzaje mambo hayo ,... Au ni story zauongo ❓

Chakula Cha mnyama Akala mwanadamu πŸ€”πŸ€”β“

ASOMAYE NA AFAHAMU.

KUMBE: NENO LIMEFICHWA KATIKA MIFANO(MAANDIKO)na ili Mwl Yesu aseme kilichofichwa tangu mwanzo 1 inabidi kwanza atumie m...
03/05/2023

KUMBE: NENO LIMEFICHWA KATIKA MIFANO(MAANDIKO)
na ili Mwl Yesu aseme kilichofichwa tangu mwanzo 1 inabidi kwanza atumie mifano(MAANDIKO)
maana pasipo mifano(MAANDIKO)hawezi kuzungumza(NENO)
Unaweza ukabaini hata mfano ule wa mpanzi.

Mimi mwl innoc'nt natoa Mfano huu K**a Bwana wangu atoavyo kwa walio njeπŸ‘‡

Bwana Mungu akachipusha katika ardhi kila mti 🌲🌴🌳🌡unaotamanika kwa machoπŸ‘€ na kufaa kwa kuliwa;πŸ˜‹ na mti wa uzima katikati ya bustani, na mti wa ujuzi wa mema na mabaya.
Mwanzo 2:9
πŸ‘€β˜οΈ

SWAL 1:Kuna mti unafikiri wa mfano halisi huu 🌲 kuwa unaitwa wa ujuzi wa mema na mabaya yaani mti wa maarifa ya kukufanya wewe utambue mema na mabaya⁉️

SWALI 2:.Inamaana wewe kutenda kwako mema na mabaya kunatokana na mti huu 🌲 pindi uulapo ndio unaenda kutenda mema na mabaya ⁉️

10 Wakaja wanafunzi, wakamwambia, Kwa nini wasema nao kwa ? πŸ€”

11 , akawaambia, kuzijua siri za ufalme wa mbinguni, .
🀸🀸🀸🀸🀸🀸🀸

12 Kwa maana ye yote , naye atazidishiwa tele; 😁 lakini ye yote , hata kile alicho nacho atanyang'anywa. 😰

13 ; kwa kuwa wakitazama , na wakisikia , wala kuelewa.
😰😰😰😰😰😰😰

34 Hayo yote Yesu aliwaambia makutano kwa mifano; wala pasipo mfano hakuwaambia ;

35 ili litimie neno lililonenwa na nabii, akisema, Nitafumbua kinywa changu kwa mifano, .
Mathayo 13:-10-35




Unafikiri bustani ya Eden ni mfano huu wa picha hapo chini πŸ˜°πŸ‘‡



NJIA YA UZIMA

MWANZO 1;2πŸ‘‡   Roho wa Mungu akatulia juu ya USO wa maji ,,,         Kwa hiyo Roho alikuwa ametulia Kwa mfano huo na akil...
02/05/2023

MWANZO 1;2πŸ‘‡

Roho wa Mungu akatulia juu ya USO wa maji ,,,
Kwa hiyo Roho alikuwa ametulia Kwa mfano huo na akili zako zote za darasani na za kuzaliwa πŸ™„πŸ™„πŸ˜„ ❓❓❓

Huoni unamfanya ROHO kuwa na umbile la Kibinadamu , yaani Roho anayo makalio , Miguu , mikono , kichwa , n. K
Ndo maaΓ±a nakuuliza ni Roho sawa, iweje awe Tena juu ya physically water β“β“πŸ™„
Au yalikuwa maji ya namna gani AMBAYO ROHO alikuwa juu yakeβ“πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„

Ikiwa Yohana wa Yesu aliona kahaba Ameketi juu ya maji katika ufunuo , ,17:1

Na katika Ufunuo wa Yohana 17:15 πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Mwisho akaambiwa hivi "πŸ‘‰ Yale , hapo aketipo yule kahaba, ni na na na .”

Sasa ikiwa maji maji yalionekana Kwa tafsiri nyingine,,,,, kwamba sio maji HALISI , Bali hayo ni πŸ‘‰jamaa , makutano na mataifa na lugha ....
Je wewe huoni na kahaba ni roho pia πŸ€”β“β“
Haya hii mwanzo 1:2 haikufunzi kitu chchote ❓
Roho kutulia juu ya Maji HUJUI ni Kwa habari ya maji Gani ❓ au wadhani Kwa kuwa ni mwanzo ndipo unaona ni Uhalisiha,,,,sasa Uhalisiha ❓

Staki uniamini Bali nahitaji uamini ROHO wako MTAKATIFU aliwahi kukaa juu ya USO maji ..........na Mungu alikuwa Ameketi wapi β“β“πŸ˜„
Kwa makalio au kusimama Kwa Miguu.
ASOMAYE NA AFAHAMU.

02/05/2023

TAFAKURI KABLA YA KUBISHA:


Katika siku ya 4 ya uumbaji Mungu alifanyaga mianga miwili mikubwa mkubwa utawale mchana na ule mdogo utawale usiku akafanya na Nyota pia
.

:Jua 🌞 ni jua tu katika Ulimwengu huu πŸŒπŸ‘ˆ lakini katika Ulimwengu usemwao na Bwana Mungu kwa mujibu wa maandiko jua haliwezi kuwa hili 🌞❌ la damu na nyama.

Yeye Mungu ana Jua lake la Haki linalowazukia watu wake lenye kuponya.

Hakikisho:πŸ‘‡

Lakini kwenu ninyi mnaolicha jina langu, jua la haki litawazukia, lenye kuponya katika mbawa zake; nanyi mtatoka nje, na kucheza-cheza k**a ndama wa mazizini.
Malaki 4:2

SASA YONA ALIPIGWA NA JUA LA NAMNA GANI HADI ANAFIKIRI KUFA KULIKO KUISHIπŸ€”β‰οΈ

Basi ikawa, jua lilipopanda juu, Mungu akaweka tayari upepo wa mashariki, wenye hari nyingi; jua likampiga Yona kichwani, hata akazimia, naye akajitakia kufa, akasema, Ni afadhali nife mimi kuliko kuishi.
Yona 4:8

Inakuwaje Yona azukiwe na jua alafu aanze kukata tamaa na kusema afadhali kufa kuliko kuishiπŸ€”β€ΌοΈπŸ˜

K**a Mungu aliumba jua lake aliliweka katika Ulimwengu katika anga la mbingu ,na mwezi na Nyota zitawale milele.
Sasa si kwa habari ya Ulimwengu huu πŸŒπŸ‘ˆβŒ
Ni habari ya njia ya Uzima katika Ulimwengu mpya.
Asomaye atafute kufahamu.

.

01/05/2023

TAFAKURI KABLA YA KUBISHA:
2.

Unafikiri Mungu aliumba mbingu na nchi hizi halisi ndio anaziongelea kwenye mwanzo 1:-1β‰οΈπŸ€”

kwanini Aliumba mbingu na nchiβ‰οΈπŸ€”
K**a hujawahi sasa Leo jiulize kwanini...hapo mwanzo Mungu aliziumba Mbingu na nchi⁉️

Huo mwanzo ulikuwa mwanzo wa namna gani kwa kazi ganiβ‰οΈπŸ€”

Ngoja nikupe picha 1ikuonyeshe sababu ya Mungu kuumba mbingu na nchiπŸ‘‡

Naliiangalia nchi, na tazama, ilikuwa ukiwa, haina watu; naliziangalia mbingu, nazo zilikuwa hazina nuru.
Yeremia 4:23
πŸ‘€β˜οΈ

Mungu aanzage kuiangalia nchi na akaona tatizo lake haina watu ,Kisha akaangalia na mbingu Tena nazo akaona Zina tatizo hazina nuru ;imekaaje hii na Mbinguni tunasema ndipo akaapo Mungu sasa anakaaje mahali penye gizaβ‰οΈπŸ€”
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚β€ΌοΈ

Hujastuka shtuka sasa😁

Basi ukisoma uumbaji sasa ndipo tunaona nchi ilikuja kuwekewa watu mwanzo 1;-26-27,na mbingu iliwekewa Nuru.
Mwanzo1;-2... Narudia Tena Mambo haya ni ya mlio mbingu na nchi...zenye sikio la kusikia Neno la Bwana...maana ni ahadi yake kuwa hataikomesha ...na kweli amefanya kitu ukiwa umeondoka
Giza limeondoka .

K**a hujasoma sehemu ya kwanza ya post yangu jitahidi usikose ...hii ni tafakuri nakupa kukufahamisha maandiko...ili ujue napinga fikra zote zisizo kwa jinsi ya Mungu ktk kumjua.

.

01/05/2023

TAFAKURI KABLA YA KUBISHA:
1

Mimi:naanza kwa kusema ulimwengu wa mwanzo 1 sio huu πŸŒπŸ‘ˆβŒ

hakikisho la maandiko nakupa .

Tuanze anasema hapo mwanzo Mungu aliziumba Mbingu na nchi.
Mwanzo 1;-1.
πŸ‘€β˜οΈ ngoja tuziangalie mbingu na nchi alizoumba tuone K**a ndio hizo udhaniazo wewe...

...
Sikilizeni, πŸ‘‰enyi mbingu, nami nitanena; Na nchi isikie maneno ya kinywa changu.πŸ€”
Kumbukumbu la Torati 32:1

huwezi kuniambia nenoπŸ‘‰ kuwa linaongelea πŸŒπŸ‘ˆ
Badala ya nafsi ya ...ndiye mwenye masikio ya kusikia.

Sasa mpaka Mungu aite hii ni mbingu na hii ni nchi si anazungumza na Enyi sasa utakuja kuangalia tufe hili ndio Mungu analihubiriβ‰οΈπŸ€”

Kipengele Cha mbingu na nchi nimemaliza nyongeza za maandiko nakupa ...πŸ‘‡

Kwa hiyo shangilieni, enyi mbingu, nanyi mkaao humo. Ole wa nchi na bahari! Kwa maana yule Ibilisi ameshuka kwenu mwenye ghadhabu nyingi, akijua ya kuwa ana wakati mchache tu.
Ufunuo wa Yohana 12:12

Hakikisho Hilo mbingu zinaambiwa heri nchi na bahari zinaambiwa
ole sasa unafikiri anaongelea anahubiria tufe hiliπŸŒβ‰οΈπŸ€”

Tutaendelea kuona mstari wa mwanzo 1;-2 kwanini Mungu aliumba mbingu na nchi zisizo kwa mfano halisi wa huu πŸŒπŸ‘ˆβ‰οΈπŸ€”
Tutakuja kuangalia kwa leo nikuache na tafakari hiyo ya mstari mmoja tu wa mwanzo 1;-1.

.

Address

Majengo Mapya
Babati

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when NJIA YA UZIMA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to NJIA YA UZIMA:

Share