CASFETA ARUSHA

CASFETA ARUSHA Karibu CASFETA Mkoa wa Arusha. Hapa utapata taarifa na mafundisho mbalimbali ya Neno la Mungu. Usipotee bure, njoo tushauriane, tujengane na kutiana moyo.

Kipindi cha ujana ni kigumu sana bila ulinzi wa Mungu, CASFETA ni jumuiya ya wanafunzi waliookoka Mashuleni na Vyuoni, hivyo kusaidia na kukuza vijana katika misingi ya Kimungu. Je, wewe ni mwanafunzi wa chuo au shule ya sekondari mkoa wa Arusha?. K**a unahitaji kuokoka pia, una nafasi leo. Karibu sana.

02/04/2021

EASTER CONFERENCE ARUSHA 2021

MAMBO YAPO MOTO KWENYE KAMBI YA PASAKA CASFETA ARUSHA 2021
02/04/2021

MAMBO YAPO MOTO KWENYE KAMBI YA PASAKA CASFETA ARUSHA 2021

27/03/2021

MWANA WA MUNGU, KONGAMANO LA PASAKA (EASTER CONFERENCE ARUSHA 2021) LIMEANDALIWA, LIMEKAA MKAO, NAKUHAKIKISHIA HAUTAJUTA KUJA, NJOO NJOO NJOO MWANA WA MUNGU UWEPO WA MUNGU UPO PAMOJA NASI TUKAMSIFU NA KUMTUKUZU JEHOVAH

22/03/2021
22/03/2021
20/03/2021

*```Walimu walezi, viongozi & wana Casfeta WOTE Mkoa wa Arusha, Nina wasalimu kupitia jina kuu LA Yesu Kristo aliye hai...

_Poleni sana kwa msiba wa kiongozi WETU tuliye mpenda lakini Mungu kampeda zaidi (Niwakati wa kuendelea kuliombea Taifa letu zuri LA TANZANIA amani ili tuvuke kwenye kipindi hiki kigumu)
_
*Napenda kuwasisitiza juu ya kuhudhulia kambi LA Pasaka (Easter conference) reporting day ni tarehe 01/04/2021 tutakaa hadi tarehe 05/04/2021.
NB: KWA ADA YA 15,000/= TU KWA SIKU ZOTE.

TUNAJUA SHULE NYINGI ZITAKUWA ZIMEFUNGA SHULE TAYARI, NAOMBA SANA MWALIMU MLEZI UWEZE KUWAONYESHA WATOTO UNAO WALEA UMUHIMU WA KUHUDHULIA KONGAMANO HILI.

VENUE/MAHALI NI PALEPALE NORTHERN BIBLE COLLAGE N.B.C -NGARAMTONI ARUSHA...
KONGAMANO HILI LINAENDA KUONYESHA MWANGA KWA VIJANA NI NAMNA GANI WANAWEZA KUSHIDA DHIDI YA VITA YA ADUI KATIKA MAISHA YAO NA KUMPENDA MUNGU NA KULIPEDA TAIFA LA TANZANIA, N'K.

KARIBUNI SANA WENU KATIKA UTUMISHA WA BWANA.
PHILIPO PAULO LUTEMA MKT CASFETA MKOA WA ARUSHA.*```*

CASFETA MKOA WA ARUSHA, sasa baada ya kupata MOTO WA UAMSHO KWENYE DECEMBER CONFERENCE.... Hakuna muda wa kupoteza ni ku...
24/12/2020

CASFETA MKOA WA ARUSHA, sasa baada ya kupata MOTO WA UAMSHO KWENYE DECEMBER CONFERENCE.... Hakuna muda wa kupoteza ni kuingia kazini....Nguvu za Mungu ni DHAHILI Yesu Kristo ATAHUBILIWA.

CASFETA MKOA WA ARUSHA WANAPENDA KUWAKARIBISHA WATU WOTE KWENYE KONGAMANO LA MWEZI WA KUMI NA MBILI KANDA YA KASKAZINI (...
14/12/2020

CASFETA MKOA WA ARUSHA WANAPENDA KUWAKARIBISHA WATU WOTE KWENYE KONGAMANO LA MWEZI WA KUMI NA MBILI KANDA YA KASKAZINI (ARUSHA, MANYARA & KILIMANJARO), NI PALE PALE NBC NGARAMTONI. TUNAENDA KUFUNGA MWAKA NA MOTO WA UAMSHO. UNAANZAJE KUKOSA KWA MFANO???
KARIBU SANA WAKO KATIKA UTUMISHI WA BWANA PHILIPO PAULO LUTEMA, MKT CASFETA MKOA WA ARUSHA.

CASFETA MKOA WA ARUSHA INAPENDA KUWAALIKA  WOTE KWENYE MKESHA WA KUWAKARIBISHA MWAKA WA KWANZA WA VYUO VYOTE MKOA WA ARU...
10/12/2020

CASFETA MKOA WA ARUSHA INAPENDA KUWAALIKA WOTE KWENYE MKESHA WA KUWAKARIBISHA MWAKA WA KWANZA WA VYUO VYOTE MKOA WA ARUSHA. UTAKUWA NI USIKU WA NGUVU USIPANGE KUKOSA.

11/08/2020

Wapendwa wana CASFETA na viongozi wa CASFETA ngazi mbalimbali Nawasalimu kwa salamu ya upendo katika jina la Yesu Kristo
Poleni kwa taharuki na sintofahamu iliyojitokeza kutokana na habari yenye nia ovu iliyoandikwa na gazeti lijulikanalo kwa jina la MWANZO kwa muda wa wiki tatu mfululizo.
Gazeti hili ni la mtu binafsi na ndiye muhariri mkuu anayejulikana kwa jina la Jackson Malungu, ni mtu aliye kinyume na huduma ya CASFETA kwa miaka mingi na amekua akiandika habari za kupotosha na kuweka maoni ya watu waliokinyume na CASFETA na kanisa linaloidhamini huduma hii yaani Tanzanian Assemblies of God.
Huduma ya CASFETA inatambuliwa kisheria na inafanya kazi kwa mujibu wa taratibu za kiserikali na maelekezo kutoka wizara ya Elimu. CASFETA na viongozi wake wanafanya kazi kwa misingi ya amani yenye nia ya kuujenga mwili wa Kristo.
Habari hizo ni za kupuuzwa na hazina ukweli, kwa sababu kwa mujibu wa gazeti hilo maelezo yaliyotolewa ni maoni ya mtu binafsi tena ni maoni ya upande mmoja uliokinyume na CASFETA.

Hivyo inaonyesha dhahiri nia ya chuki na maslahi binafsi ya muhariri na mmiliki wa gazeti hilo.
Pia ameamua kuirudia habari hiyo kwa wiki tatu mfululizo kwa sababu ya maslahi ya kifedha, kwa sababu habari hiyo alipoitoa wiki ya kwanza nakala nyingi zilinunuliwa kwa sababu habari ni hasi!, watu wengi walitaka kujua ni nini kiliandikwa ndani.
Hivyo uongozi unawaomba wadau wote wa CASFETA, kuendelea kumtumikia Mungu kupitia huduma ya CASFETA kwa amani na utulivu huku mkizidi sana kuifanya kazi ya Mungu bila kuyumbishwa na HILA za waovu wakati jambo hili likiendelea kufatiliwa kwa ukaribu kulingana na taratibu zilizopo.

"Basi, ndugu zangu wapendwa mwimarike, msitikisike, mkazidi sana kutenda kazi ya Bwana Siku zote, kwa kua mwajua ya kwamba taabu yenu sio bure katika Bwana"
1korinth 15:58

Mungu awabariki sana!!
Uongozi

CASFETA MKOA WA ARUSHA, Tunazo kila sababu ya kumshukuru MUNGU KUTUSAIDIA KUFUNGUA TAWI LA CASFETA CHUO CHA T. M.A MONDU...
09/08/2020

CASFETA MKOA WA ARUSHA, Tunazo kila sababu ya kumshukuru MUNGU KUTUSAIDIA KUFUNGUA TAWI LA CASFETA CHUO CHA T. M.A MONDULI, WONDERFUL KUWA NA MAASKARI WETU.

Address

PO BOX 1330
Arusha

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when CASFETA ARUSHA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share