01/08/2025
Chochote unachokikosa simamia utakipoteza, kwa maana nyingine Mungu hatakupa kile unachoomba anakupa tu kile unachoweza kukisimamia. Hebu sema unaomba gari au nyumba mpya na Mungu anaangalia sehemu (eneo) ambalo halijahifadhiwa kwa hiyo kumbuka anakupa tu kile ulichothibitisha na unaweza kusimamia hivyo acha kulalamika. Unajua ukikosa kuusimamia mwili wako unaupoteza, ukikosa kusimamia watoto wako ndoa, pesa inaisha hivyo ukikosa kusimamia chochote unaipoteza. Ikiwa watu hawatajifunza kusimamia wataendelea kupoteza kile walichopokea kutoka kwa Mungu
Kwa hiyo jifunze KUSIMAMIA na epuka Kukosa kusimamia chochote katika maisha yako
Kumbuka
"Nguvu ya kufanya Maamuzi":