ECG The Jesus Nation Church Arusha

ECG The Jesus Nation Church Arusha God is still speaking today.

Shalom shalom!Ikiwa tupo katika wiki ya   (ECG TJNC -The Jesus Nation Church) k**a TAWI la   tutaadhimisha siku ya Jumam...
03/06/2026

Shalom shalom!
Ikiwa tupo katika wiki ya (ECG TJNC -The Jesus Nation Church) k**a TAWI la tutaadhimisha siku ya Jumamosi kupitia michezo mbalimbali k**a ifuatavyo
1) Mpira wa miguu kushindania Mbuzi, kombe na Jezi za mpira
2) Draft
3) Dax
4) Kuvuta kamba
5) Kuruka kamba
6) Kukusanya Chupa
7) Kula mayai ya kuchemsha
8) na tutakuwa na choma choma

Usipange kukosa hii ya tarehe 06 June 2026 na mahali ni katika .

Prophet Shepherd Bushiri
Prophetess Mary Bushiri
ECG The Jesus Nation Church Tanzania

   Mtumishi wa Mungu kwa muongozo wa   aliwafundisha wahumini umuhimu wa maombi na namna ya kuomba ili kupokea majibu ku...
31/05/2026





Mtumishi wa Mungu kwa muongozo wa aliwafundisha wahumini umuhimu wa maombi na namna ya kuomba ili kupokea majibu kutoka kwa
Alisisitiza na kusema kuomba kupitia kupiga magoti ni unyenyekevu wa Hali ya juu na kuonyesha utii kwa Mungu ukiwa unajua yeye ni mkuu katika yote na pasipo yeye huwezi.
Akatoa mifano ya baadhi ya watumishi katika Biblia jinsi walivyoomba kwa kupiga magoti na wakapiganiwa na MUNGU mwenyewe akiwemo katika Daniel 6:10-24, katika Luka 22:36-41


The servant of God, guided by the , taught the believers the importance of prayer and how to pray to receive answers from

He emphasized and said that praying through kneeling is the highest form of humility and showing obedience to God when you know that He is the greatest in all and without Him you cannot.

He gave examples of some servants in the Bible how they prayed by kneeling and were fought by GOD himself including in Daniel 6:10-24, ​​in Luke 22:36-41

Prophet Shepherd Bushiri
Prophetess Mary Bushiri
ECG The Jesus Nation Church Tanzania

31/05/2026

Highlight of Sunday Service

Prophet Shepherd Bushiri
Prophetess Mary Bushiri
ECG The Jesus Nation Church Tanzania

   today 30 May 2026 done at our branch in Dar es Salaam  Prophet Shepherd Bushiri Prophetess Mary Bushiri ECG The Jesus...
30/05/2026


today 30 May 2026 done at our branch in Dar es Salaam

Prophet Shepherd Bushiri
Prophetess Mary Bushiri
ECG The Jesus Nation Church Tanzania

  tunakukaribisha katika ibada kubwa Jumapili hii yenye kichwa cha Somo  , kwa muongozo wa   mtumishi wa   na mwana wa n...
28/05/2026

tunakukaribisha katika ibada kubwa Jumapili hii yenye kichwa cha Somo , kwa muongozo wa mtumishi wa na mwana wa nabii Major1 atakufundisha, atakuelekeza na mtaomba pamoja, mambo mengine unayopitia yanakuletea msongo wa mawazo hayahitaji umsimulie kila mtu bali ya nahitaji upige magoti na umwite naye Atakusikia.
Usipange kukosa Jumapili hii ya tarehe 31/05/2026 ibada itaanza (07.00 am) mkaribishe na mwingine apate kujibiwa maombi yake.
Kanisa linapatikana barabara ya Ngusero kituo cha Sombetini Makuti barabara ya kwanza
mnakaribishwa.

Prophet Shepherd Bushiri
Prophetess Mary Bushiri
ECG The Jesus Nation Church Tanzania

Shalom!Siku ya Jumatano tarehe 27/05/2026 itakuwa ni Siku ya Kufunga na Kuomba Kitaifa kwa wachungaji, Walawi na Viongoz...
25/05/2026

Shalom!

Siku ya Jumatano tarehe 27/05/2026 itakuwa ni Siku ya Kufunga na Kuomba Kitaifa kwa wachungaji, Walawi na Viongozi wote kuombea familia ya

Mungu atubariki sote na kututia nguvu katika kifungo Cha umoja na pendo.

Ukiwa unaombi lako unaweza kuandika katika comment na tutakuombea.

Prophet Shepherd Bushiri
Prophetess Mary Bushiri
ECG The Jesus Nation Church Tanzania

   Mtumishi wa   na mwana wa nabii   pastor   Alifundisha umuhimu wa madhabahu akasema madhabahu ni mahali ambapo ulimwe...
24/05/2026





Mtumishi wa na mwana wa nabii pastor Alifundisha umuhimu wa madhabahu akasema madhabahu ni mahali ambapo ulimwengu wa kiroho hukutana na ulimwingu wa mwili ili kutengeneza muujiza.
Mtumishi wa MUNGU aliongoza maombi na kwa msaada wa alianza kutabiri kwa baadhi ya washirika kuwathibitishia jinsi madhabahu inavyofanyakazi na kuwaombea. Wewe uliyekosa ibada hii ni muhimu kujitahid wakati mwingine usikose.


Servant of and son of prophet pastor He taught the importance of the altar and said the altar is a place where the spiritual world meets the physical world to create a miracle.
Servant of GOD led the prayers and with the help of the began to prophesy to some of the members to prove to them how the altar works and pray for them. Those of you who missed this service, it is important to make an effort next time so you don't miss it.

Prophet Shepherd Bushiri
Prophetess Mary Bushiri
ECG The Jesus Nation Church Tanzania

   : Amani Inayolinda Moyo Wako (Wafilipi 4:7)- Amani ya   hunyamazisha sauti ya hofu- Aman ya MUNGU lazima iimarishwe k...
24/05/2026



: Amani Inayolinda Moyo Wako (Wafilipi 4:7)

- Amani ya hunyamazisha sauti ya hofu
- Aman ya MUNGU lazima iimarishwe kila siku kupitia maombi, shukran na kuendelea kuunganishwa naye.

Ibada inaendelea sasa Jitahidi popote ulipo wahi katika ibada na nikukumbushe Jumapili hii ni ya Madhabahu, njoo ujue Siri ya Madhabahu ili ufanikiwe.


- The peace of silences the voice of fear
- The peace of GOD must be strengthened daily through prayer, thanksgiving and continued connection with Him.

Worship continues now Strive wherever you are in worship and let me remind you this Sunday is of the Altar, come and know the Secret of the Altar so that you may succeed.

Prophet Shepherd Bushiri
Prophetess Mary Bushiri
ECG The Jesus Nation Church Tanzania

  Ikiwa ni siku ya tatu ya maombi ya mfungo mtumishi wa Mungu aliongoza maombi haya asubuhi na mapema akitamka na kutang...
24/05/2026




Ikiwa ni siku ya tatu ya maombi ya mfungo mtumishi wa Mungu aliongoza maombi haya asubuhi na mapema akitamka na kutangaza kila sila inayoinuka juu ya washirika haitafanikiwa

Tunakukaribisha katika ibada inaendelea sasa. Fika bila kukosa


Being the third day of the fasting prayer, the servant of God led this prayer early in the morning, decree and declaring that every weapon that rises against the church members will not succeed

We welcome you to the service that is going on now. Come without missing

Prophet Shepherd Bushiri
Prophetess Mary Bushiri
ECG The Jesus Nation Church Tanzania

Ni Jumapili nyingine ya kipekee  Ukionanmtu anafanikiwa ujue ana madhabahu nyuma yake anayoiabudu, Jumapili hii Tunakuka...
23/05/2026

Ni Jumapili nyingine ya kipekee
Ukionanmtu anafanikiwa ujue ana madhabahu nyuma yake anayoiabudu, Jumapili hii Tunakukaribisha katika ibada hii tujifunze umuhimu wa madhabahu na jinsi madhabahu inavyomfanya mtu kufanikiwa au kutokufanikiwa.
ni hapa katika kanisa la kuanzia 01.00 asubuhi, wahi pia maombi ya saa moja kamili hadi saa mbili kamili.
anayependa kujua siri ya .
Kanisa linapatikana barabara ya Ngusero kituo cha Sombetini Makuti barabara ya kwanza utaona kibao cha kanisa.

Prophet Shepherd Bushiri
Prophetess Mary Bushiri
ECG The Jesus Nation Church Tanzania

Address

P. O Box 16717
Arusha
255

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ECG The Jesus Nation Church Arusha posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share