Reality of Christ Church - Arusha

Reality of Christ Church - Arusha Karibu sana kwenye IBADA YA NENO LA MUNGU Kila Ijumaa : 10:00 jioni na Jumapili saa 3:00 Asubuhi.

DAY 3 – 5 DAYS OF FASTING & PRAYERS πŸ”₯πŸ™Leo tunaingia katika siku ya tatu ya mfungo na maombi tukiwa na imani kwamba Mungu...
02/06/2026

DAY 3 – 5 DAYS OF FASTING & PRAYERS πŸ”₯πŸ™

Leo tunaingia katika siku ya tatu ya mfungo na maombi tukiwa na imani kwamba Mungu atafanya makuu kupitia nguvu ya utambulisho wake.

πŸ“– Mathayo 21:2-8

πŸ“Œ Tunaombea uwezo wa Mungu katika kuingia kwenye maeneo mapya kwa utambulisho wake.

πŸ“Œ Tunaombea mafanikio yatakayothibitishwa kupitia utambulisho ambao Mungu ametupa.

πŸ“Œ Tunaomba kila mafanikio yaliyowekwa kifungoni yapate kufunguliwa na kuwa huru kwa jina la Yesu.

Jiunge nasi katika maombi haya ya nguvu na imani.

πŸ•š Saa 11:00 Jioni

πŸ“ Eneo: Reality of Christ Arusha

❀️



DAY 02 πŸ”₯ | 5 DAYS OF FASTING AND PRAYERSLeo tunaendelea na siku ya pili ya mfungo na maombi, tukimshukuru Mungu kwa utaw...
02/06/2026

DAY 02 πŸ”₯ | 5 DAYS OF FASTING AND PRAYERS

Leo tunaendelea na siku ya pili ya mfungo na maombi, tukimshukuru Mungu kwa utawala wake juu yetu na kuomba neema ya kumiliki baraka zote ambazo zilikuwa zimezuiliwa.

πŸ“– 2 Timotheo 1:2
πŸ“– Yoshua 6:15

Hakika Mungu anaendelea kututembelea katika maombi, kuvunja vikwazo, na kufungua njia mpya mbele yetu. Tunajua kuwa kila tunachokiombea kwa imani, Mungu anakitenda kwa wakati wake.

Karibu tuungane pamoja katika uwepo wa Mungu πŸ™πŸ”₯

⏰ Saa 11:00 Jioni
πŸ’’ Reality of Christ Arusha
πŸ“ Njiro β€œBP” baada ya Eden Garden

USIPANGE KUKOSA ‼️





πŸ”₯ DAY 1 COMPLETED – 5 DAYS OF FASTING & PRAYERS πŸ™Tunamshukuru Mungu kwa siku ya kwanza ya mfungo na maombi ambayo imekuw...
01/06/2026

πŸ”₯ DAY 1 COMPLETED – 5 DAYS OF FASTING & PRAYERS πŸ™

Tunamshukuru Mungu kwa siku ya kwanza ya mfungo na maombi ambayo imekuwa ya baraka na kujazwa uwepo wake.

Tulijifunza umuhimu wa kumshukuru Mungu kwa kila jambo alilotutendea na kuomba rehema zake juu ya kila eneo la maisha yetu. Mioyo iliguswa, imani ilijengwa, na maombi mengi yalipelekwa mbele za kiti cha neema.

"Tumshukuruni Bwana kwa kuwa ni mwema, kwa maana fadhili zake ni za milele." πŸ™Œ

Asante kwa kila aliyeungana nasi kwa njia mbalimbali. Tunaendelea kuamini Mungu kwa makuu zaidi katika siku zinazofuata.

❀️


01/06/2026

Palipo na maombi kuna majibuπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯





DAY 1 – 5 DAYS OF FASTING & PRAYERS πŸ”₯πŸ™Tunaanza siku ya kwanza ya mfungo wetu wa siku tano kwa moyo wa shukrani na unyeny...
31/05/2026

DAY 1 – 5 DAYS OF FASTING & PRAYERS πŸ”₯πŸ™

Tunaanza siku ya kwanza ya mfungo wetu wa siku tano kwa moyo wa shukrani na unyenyekevu mbele za Mungu.

πŸ“Œ Tunamshukuru Mungu kwa yale aliyotutendea na kutukirimia katika kila hatua ya maisha yetu. (1 Wathesalonike 3:9)

πŸ“Œ Tunaomba rehema juu ya kila kilichoandikwa kinyume na kuzaliwa kwetu, matokeo yetu na mafanikio yetu, tukiamini Mungu ataleta mabadiliko na ushindi. (Yeremia 22:30)

Jiunge nasi katika maombi saa 11:00 jioni popote ulipo.

πŸ“ Mahali: Reality of Christ Arusha Njiro BP, baada ya Geti la Eden Garden.

❀️


31/05/2026

πŸ”₯ DECLARATION YA MWEZI WA SITA πŸ”₯

Mwezi huu wa sita ninatangaza kwamba ni mwezi wa neema, mafanikio, afya njema, na ushindi katika kila eneo la maisha yangu.

Kila mlango uliokuwa umefungwa utafunguliwa. Kila kilio kitageuzwa kuwa ushuhuda. Kila vita nitakutana navyo vitanipa ushindi kwa neema ya Mungu.

Ninakataa kushindwa, kukata tamaa, na kuchelewa. Ninapokea kibali, ulinzi, hekima, na ongezeko katika kazi, huduma, biashara, familia, na afya yangu.

Mwezi wa sita utakuwa mwezi wa kutimiza makusudi ya Mungu katika maisha yangu.

πŸ™ "Hakika wema na rehema zitanifuata siku zote za maisha yangu." (Zaburi 23:6)

31/05/2026

Sunday Service Recap πŸ™πŸ½

Tulibarikiwa sana katika uwepo wa Mungu kupitia Sifa na Kuabudu, Neno lenye kujenga imani, pamoja na maombi yaliyogusa maisha ya wengi. Hakika ilikuwa ni ibada ya neema, nguvu na utukufu wa Mungu.

Tunamshukuru Mungu kwa kila aliyeungana nasi ibadani.
Tunaamini maisha yameguswa na mioyo imejengwa upya katika Kristo.

Kwa waliokosa kufuatilia ibada ya leo, unaweza kutembelea YouTube channel ya Reality of Christ Arusha na kuendelea kubarikiwa.





Maombi na Maombezi yamefanyika kwa nguvu na utukufu wa Mungu πŸ™πŸ½Tumeshuhudia uwepo wa Mungu, maombi ya imani, maombezi na...
31/05/2026

Maombi na Maombezi yamefanyika kwa nguvu na utukufu wa Mungu πŸ™πŸ½

Tumeshuhudia uwepo wa Mungu, maombi ya imani, maombezi na kuguswa kwa maisha mengi kupitia nguvu za Mungu. Hakika Mungu bado anatenda makuu kwa watu wake.

Tunamshukuru kila mmoja aliyeungana nasi katika kipindi hiki cha baraka.
Kwa waliokosa kufuatilia moja kwa moja, unaweza kuendelea kufuatilia mafundisho na vipindi kupitia YouTube channel ya Reality of Christ Arusha.

SOMO: MALANGO YA UCHUMIMalango ya uchumi ni uwezo wa kiroho ambao Mungu hutumia kupitisha baraka kutoka ulimwengu wa roh...
31/05/2026

SOMO: MALANGO YA UCHUMI

Malango ya uchumi ni uwezo wa kiroho ambao Mungu hutumia kupitisha baraka kutoka ulimwengu wa roho kuja katika maisha ya mwanadamu hapa duniani. Baraka nyingi huanzia rohoni kabla ya kuonekana katika mwili au kwenye maisha ya kawaida. Ndiyo maana mtu anahitaji kufunguliwa kiroho ili kuona matokeo ya Mungu katika uchumi, kazi, biashara na maisha kwa ujumla.

Kupitia somo hili tumejifunza kwamba Mungu ndiye chanzo cha baraka, na anapofungua malango ya uchumi hakuna kinachoweza kuzuia mafanikio ambayo Ameandaa kwa watu wake.

Kwa muendelezo wa mafundisho haya yenye kujenga imani na kuleta ufahamu wa kiroho, unaweza kufuatilia kupitia YouTube channel ya Reality of Christ Arusha.





SUNDAY SERVICE | KIPINDI CHA KWANZAπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya kipindi cha kwanza πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½Kipindi hiki kimebarikiwa...
31/05/2026

SUNDAY SERVICE | KIPINDI CHA KWANZAπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya kipindi cha kwanza πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½

Kipindi hiki kimebarikiwa kwa:
β€’ Sifa na Kuabudu
β€’ Shukrani
β€’ Neno la Mungu

Tunaendelea kujifunza na kuguswa na uwepo wa Mungu. Endelea kuwa nasi kupitia YouTube Channel yetu ya Reality of Christ Arusha, tupo LIVE sasa hivi.

Usikose kile Mungu anachoendelea kutenda. Karibu sana uungane nasi.





Address

Geti Linalofuata Baada Ya Eden Garden
Arusha
23208

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Reality of Christ Church - Arusha posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share