Redemption and healing Baptist Church

Redemption and healing Baptist Church deliverance and healing people. spread gospel, disciples maker, community action

15/04/2026

Huwezi kusherehekea ukiwa utumwani.

Pasaka imepita na watu walisherehekea, katika sherehe hii kuna wahusika na wasio wahusika, ok huwezi kunielewa vizuri twende kwenye chanzo Cha pasaka, kulikiwa na watumwa walioishi Misri miaka mia nne na thelathini kwa mateso makali ndipo Mungu Jehova akawahurumia na kuwatafutia ukombozi ili wasiwe watumwa tena, kwahiyo neno pasaka ni Passover kutoka kwenye utumwa, na Mungu alifanya hivyo kuwatoa Misri, Mungu anawaaambia wale pasaka yaani sherehe ya kukombolewa,

Ni waliokombolewa tu ndio wanahusika kwenye pasaka na hii ndio maana siku ya pasaka watu wasiohusika wanalewa wanazini na kufanya kila anasa maana haimuhusu ila waliokombolewa wanasherehekea kwa kujitakasa zaid

18/11/2025

Faida
Kuna faida kwa mtu ambaye anaabudu mahali ambapo maisha yake ya kiroho yanastawi, hii Ina maana gani hebu nokuambie kitu, Kuna faida kabisa inapata kwa anayeabudu mfano inapofikia wakati wa utoaji Kuna watu wanatoa sana kuliko wengine lakini maisha ya rohoni ni hovyo kabisa ni mzinzi, msengenyaji, ni mzushi, tapeli nk. Wakati huwo huwo dhambi ya mtu huyo haisemwi kwa sababu ya utoaji wake hiyo faida kwa kabisa na mchungaji maana huwo utoaji utagusa maisha ya mchungaji kimahitaji lakini kwa huyo muumini ni hasara kwa kuwa atakwenda jehanamu.

Wewe mchungaji, mwinjilisti mtume na nabii jitahidini sana kuihubiri kweli ya Mungu na kukemea dhambi Ili watu pamoja na kabisa wapate faida.

07/05/2023

Watu wengi wanaogopa kufa kwanini?

Hii ni kwasababu hawajui wanakokwenda baada ya kufa. Wanafunzi wa Yesu walifadhaika sana kusikia kwamba Yesu anaondoka, walijiuliza maswali Nani atatutalia changamoto tutakazokutana nazo kwasababu walimzoea sana, shangaa Yesu alipowaambia nakwenda kuwaandalia makao walishtuka, kwanini walijua ndio wataenda lakini si ni lazima wafe kwanza? waliogopa kufa, ok mazungumzo yaliendelea ni kweli mtakufa lakini nawapa uhakika kwamba mtakuwa na Mimi huko mbinguni, ile hofu iliondoka ghafla kwasababu wamepata uhakika wa mahali wanapoenda kwamba ni salama.

Ndugu yangu usiogopa kufa K**a una uhakika na unakoenda kwamba Ni salama acha dhambi ishi maisha ya utakatifu ili ufanane na Yesu. Na wewe yale makao aliosema na wewe uwepo. Ishi k**a unaondoka leo ili muda wote ujitakase sana, usiitamani K**a utaishi milele hapo utapotea maana wakati unafikiri sana Mambo ya ulimwengu huu ghafla utajikuta muda umeisha jiulize nitaenda wapi? Ukipita njiani salimia watu, waheshimu watu, saidia watu usimdharau mtu maana inawezekana huyo unayemdharau yeye makao yake yameshaandaliwa wewe bado.

10/06/2021

Jesus is able all the time, if you need something ask him, you will get, say Amen.

13/04/2020

I wish you good easter

01/12/2019

Let us go to the church today

28/11/2019

John 14:6 I am the way, Truth and the life; No one comes to the Father except through Me.

Address

Cell Number 0757235681
Arusha

Telephone

+255689142733

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Redemption and healing Baptist Church posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share