15/04/2026
Huwezi kusherehekea ukiwa utumwani.
Pasaka imepita na watu walisherehekea, katika sherehe hii kuna wahusika na wasio wahusika, ok huwezi kunielewa vizuri twende kwenye chanzo Cha pasaka, kulikiwa na watumwa walioishi Misri miaka mia nne na thelathini kwa mateso makali ndipo Mungu Jehova akawahurumia na kuwatafutia ukombozi ili wasiwe watumwa tena, kwahiyo neno pasaka ni Passover kutoka kwenye utumwa, na Mungu alifanya hivyo kuwatoa Misri, Mungu anawaaambia wale pasaka yaani sherehe ya kukombolewa,
Ni waliokombolewa tu ndio wanahusika kwenye pasaka na hii ndio maana siku ya pasaka watu wasiohusika wanalewa wanazini na kufanya kila anasa maana haimuhusu ila waliokombolewa wanasherehekea kwa kujitakasa zaid