01/10/2021
Aina ya marafiki wanne unatakiwa kuwa nao, ao uwe umoja wao ili ufikiye atma yako takatifu. Kumbuka uliumbwa kwa lengo.
Ili ufike kwenye malengo yako tafuta watu k**a hawa:
1. Rafiki anaye kuunga ao kuku connect.
2 Wafalme 5:1-3
Atma ya Namani ilikiwa imesha aribika sababu ya ukoma. Lakini kijakani alifanya fanya kazi za ndani ali mupa connection na ukoma wake ukapona. Usimzarau mutu yeyote labda kesho anawezakuwa connection yako.
2. Rafiki mwenye ushawishi. Influence.
Mwanzo 41:12-13
Uyu anawezo wa kukuteteya mbele za watu. Ambaye anasikilika na kuheshimiwa na watu. Usiwe na urafiki bila mikakati ao Strategic. Yusufu alisema wende lakini Unikumbuke. Alijuwa rafikiyake anaweza sema neno kwa mfamle na likasikika. Petro naye kamuuliza Bwana tumeacha vyote tuta pata nini?. (Deal) kuna deal gani katika urafikiwenu?
3. Tafuta rafiki mwenye kipawa.
1 Samueli 17:34-37
Jufunze historia ya mutu unataka kuambatana naye. Shida ikija anaweza kukusaidiya kivipi? Tafuta mutu atakae kutowa katika shida atakaye kusukuma mbele wakati unapoanza didimiya. Sio wakuku gandamiza.
4. Mutu anaye simama na wewe kwa yote.
Ruthu 1:16-17
Kuwa na rafiki atakaye beba mzigo wako k**a wake. Anaye kuchukuliya na kuambatana na wewe kimaisha na kiroho piya.
Rithu 2:11
K**a hauna warafiki k**a hawa jitahidi basi wewe uwe na hali k**ahizi tajwa sababu watu wengine watakutegemeya.
Somo: omba sana ili ujuwe mutu ambaye unatakafanya naye urafiki. Wala usimzarau mutu yeyote bali mchunguze. Angaliya faida gani utapata katika urafiki wenu.
Amen.