Radio Maria Kenya- Nairobi

Radio Maria Kenya- Nairobi Radio Maria Kenya-Nairobi is a Catholic Radio station based in the Archdiocese of Nairobi.

It broadcasts on 107.3 FM and 107.0FM Kericho, offering a variety of Christian programming, including music, news, and religious content.

19/06/2026

Mikononi mwako,Ee Bwana naiweka Roho yangu.

19/06/2026

Yesu anayeteseka ndani yetu.

MUNGU NI MWEMAAwamu ya Tatu pamoja na Dada Seline Akwiri Mwanazaidi.Tunaingia wiki ya saba ya Mlango Uliowazi, ambapo tu...
19/06/2026

MUNGU NI MWEMA

Awamu ya Tatu pamoja na Dada Seline Akwiri Mwanazaidi.

Tunaingia wiki ya saba ya Mlango Uliowazi, ambapo tutakuwa tunaangazia mada:

"Yesu Anayeteseka Ndani Yetu"

Je, ni mambo yapi yanayomfanya Yesu ateseke ndani yetu?

Jiunge nasi upate mafundisho na mwanga wa kiroho kuhusu mada hii muhimu.

SMS: 23405
WhatsApp: 0796 485132

Karibu tushirikiane katika safari hii ya imani na kujifunza Neno la Mungu.

Mungu ni Mwema!Karibu tusali Rozari Takatifu pamoja na familia leo saa 7:30 jioni (7:30 PM).Tuwaombee wazazi wote, watot...
19/06/2026

Mungu ni Mwema!

Karibu tusali Rozari Takatifu pamoja na familia leo saa 7:30 jioni (7:30 PM).

Tuwaombee wazazi wote, watoto wao, na wale wenye mahitaji maalum.

Nia yako ya sala ni ipi?

SMS 23405 au WhatsApp 0796 485132

Karibu tushiriki katika sala na kuombeana.

19/06/2026

19-6-2026

Mwenyezi Mungu atujalie Ijumaa ya Baraka na Amani...🤲

"Dakika chache za kuabudu mbele ya Yesu zinaweza kubadilisha siku nzima; maisha ya kuabudu yanaweza kubadilisha maisha y...
18/06/2026

"Dakika chache za kuabudu mbele ya Yesu zinaweza kubadilisha siku nzima; maisha ya kuabudu yanaweza kubadilisha maisha yote.''

Mungu ni Mwema!Karibu kwa awamu yetu ya pili ya kusali Rozari Takatifu pamoja na Jumuiya ya Mt. Antony wa Padua, Parokia...
18/06/2026

Mungu ni Mwema!

Karibu kwa awamu yetu ya pili ya kusali Rozari Takatifu pamoja na Jumuiya ya Mt. Antony wa Padua, Parokia ya Mt. Yusufu Kahawa Sukari, leo saa 7:30 usiku (7:30 pm).

Kwa namna ya pekee, tuwaombee viongozi wote wa Jumuiya yetu ili Bwana awaongoze na kuwajalia hekima katika huduma yao.

Nia yako ya sala ni ipi?

SMS kwa 23405 au WhatsApp 0796 485132.

Karibu tusali pamoja.

√Ekaristia ni chakula, chakula cha uzima wa milele, Ee mkate wa Mbinguni, shibisha roho zetu.1. Yesu Mwokozi kashuka chi...
18/06/2026

√Ekaristia ni chakula, chakula cha uzima wa milele, Ee mkate wa Mbinguni, shibisha roho zetu.
1. Yesu Mwokozi kashuka chini kwetu, tukampokee
2. Maumbo haya ni mwili wake Yesu, twakiri sote
3. Yesu mpenzi pokea moyo wangu, na mimi wako
4.Ninakupenda kuliko nafsi yangu, Mwokozi wangu
5. Nakuabudu ee Mungu wangu mwenye, heri ya Mbingu.

www.radiomaria.co.ke

18/06/2026

Welcome to Child safeguarding program. Today, we are reflecting on the day of the African Child.

www.radiomaria.co.ke

Address

Race Course Street
Nairobi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Radio Maria Kenya- Nairobi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share