28/05/2026
📖📖MASOMO YA MISA, ALHAMISI YA JUMA LA NANE, KIPINDI CHA KAWAIDA, MWAKA II, MEI 28, 2026
RANGI YA KILITURJIA: KIJANI KIBICHI 💚
SOMO LA KWANZA
1 PETRO 2:2—5, 9—12
Ninyi ni kizazi kiteule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu walo mali ya Mungu, mpate kutangaza matendo nakuu ya yule allyewaita.
Somo katika barua ya kwanza ya Mtakatifu Petro
Ndugu zangu: K**a watoto wachanga waliozaliwa, mlamani maziwa halisi ya kirolho, mpate kukua katika wokovu, maana mmeonja jinsi Bwana alivyo mwema. Mjongeeni yeye aliye jiwe lenye uzima lililokataliwa na wanadamu, lakini ni teule azizi kwa Mungu. Nanyi pia muwe k**a mawe yenye uzima yanayotumiwa kwa kujengea nyumba ya kiroho, ukuhani mtakatifu, unaokubalika na Mungu kwa ujumbe wa Yesu Kristo, Ninyi ni "kizazi kiteule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu walio mali ya Mungu, mpate kutangaza matendo makuu" ya yule aliyewaita mtoke gizani na kuingia katika mwanga wake wa ajabu. Zamani mlikuwa "si taifa," lakini sasa mmekuwa taifa la Mungu; "zamani hamkujaliwa huruma," lakini sasa mmehurumiwa. Wapendwa, nawaomba sana ninyi mlio k**a wageni na wasafiri, mjiepushe na tamaa za mwili zinazopigana na roho. Muwe na mwenendo mwema kati ya watu wa mataifa, ili wale wanaowasingizia k**a watenda mabaya, wawatambue katika matendo yenu mema na kumtukuza Mungu siku ya
hukumu.
NENO LA BWANA... TUMSHUKURU MUNGU
ZABURI YA KUITIKIZANA
ZABURI 100:1—2, 3, 4, 5 (K. 2b)
K. Njoni mbele za Bwana, mkiimba kwa furaha.
Mshangilieni Bwana, ee nchi yote.
Mtumikieni Bwana kwa furaha.
Njoni mbele zake kwa kuimba. K.
Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu.
Ndiye aliyetuumba, nasi tu watu wake.
Taifa lake na kondoo wa malisho yake. K.
Ingieni malangoni mwake kwa shukrani
anyuani mwake kwa masifu.
Mshukuruni, libimidini jina lake. K.
Kwa maana Bwana ndiye mwema,
wema wake wadumu milele,
Uaminifu wake kizazi na kizazi. K.
SHANGILIO LA INJILI
YOHANE 8:12
K. Aleluya. W. Aleluya.
K. Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu, asema Bwana; yeye anifuataye mimi atakuwa na mwanga wa uzima.
SOMO LA INJILI
MARKO 10:46—52
Mwalimu, naomba nipate kuona tena.
† Somo la Injili takatifu ilivyoandikwa na Marko
Wakati ule: Yesu alipokuwa anatoka Yeriko pamoja na wafuasi wake na umati wa watu, Bartimayo, yaani mwana wa Timayo, mtu kipofu, alikaa kando ya njia akiomba. Naye aliposikia ya kwamba ni Yesu Mnazareti, alianza kuita kwa sauti kubwa, akisema, "Yesu, Mwana wa Daudi, unirehemu." Wengi wakamkemea ili anyamaze. Lakini alizidi kupaza sauti na kuita, "Mwana wa Daudi, unirehemu." Yesu akasimama, akasema, "Mwiteni." Wakamwita kipofu wakimwambia, Jipe moyo; simama, anakuita." Akatupa joho, akaruka, akasimama, akamwendea Yesu. Yesu akamwuliza, "Wataka nikufanyie nini?" Kipofu akajibu, "Mwalimu, nataka nipate kuona tena." Yesu akamwambia, " Nenda, imani yako imekuponya." Mara akaona, akamfuata njiani.
INJILI YA BWANA... SIFA KWAKO EE KRISTO
📖📖READINGS FOR THURSDAY OF THE EIGHTH WEEK IN ORDINARY TIME, YEAR II, MAY 28, 2026
LITURGICAL COLOUR: GREEN 💚
FIRST READING
“You are a chosen race, a royal priesthood, that you may declare the wonderful deeds of him who called you. ”
A reading from the first Letter of Saint Peter (1 Peter 2:2—5, 9—12)
Beloved: Like newborn infants, long for the pure spiritual milk, that by it you may grow up to salvation; for you have tasted the kindness of the Lord. Come to him, to that living stone, rejected by men but in God’s sight chosen and precious; and like living stones be yourselves built into a spiritual house, to be a holy priesthood, to offer spiritual sacrifices acceptable to God through Jesus Christ. But you are a chosen race, a royal priesthood, a holy nation, God's own people, that you may declare the wonderful deeds of him who called you out of darkness into his marvellous light. Once you were no people but now you are God’s people; once you had not received mercy but now you have received mercy. Beloved, I beg you as aliens and exiles to abstain from the passions of the flesh that wage war against your soul. Maintain good conduct among the Gentiles, so that in case they speak against you as wrongdoers, they may see your good deeds and glorify God on the day of visitation.
THE WORD OF THE LORD... THANKS BE TO GOD
RESPONSORIAL PSALM
PSALM 100:1—2, 3, 4, 5 (R. 2b)
R/. Come before the Lord, singing for joy.
Cry out with joy to the Lord, all the earth.
Serve the Lord with gladness.
Come before him, singing for joy. R/.
Know that he, the Lord, is God.
He made us; we belong to him.
We are his people, the sheep of his flock. R/.
R/. Come before the Lord, singing for joy.
Enter his gates with thanksgiving and
his courts with songs of praise.
Give thanks to him, and bless his name. R/.
Indeed, how good is the Lord,
eternal his merciful love.
He is faithful from age to age. R/.
GOSPEL ACCLAMATION
JOHN 8:12
Alleluia. I am the light of the world, says the Lord; he who follows me will have the light of life. Alleluia.
GOSPEL READING
“Master let me receive my sight. ”
† A reading from the holy Gospel according to Mark (Mark 10:46—52)
At that time: As Jesus was leaving Jericho with his disciples and a great multitude, Bartimaeus, a blind beggar, the son of Timaeus, was sitting by the roadside. And when he heard that it was Jesus of Nazareth, he began to cry out and say, “Jesus, Son of David, have mercy on me!” And many rebuked him, telling him to be silent; but he cried out all the more, “Son of David, have mercy on me!” And Jesus stopped and said, “Call him.” And they called the blind man, saying to him, “Take heart; rise, he is calling you.” And throwing off his cloak he sprang up and came to Jesus. And Jesus said to him, “What do you want me to do for you?” And the blind man said to him, “Master, let me receive my sight.” And Jesus said to him, “Go your way; your faith has made you well.” And immediately he received his sight and followed him on the way.
THE GOSPEL OF THE LORD... PRAISE TO YOU LORD JESUS CHRIST