Pastor Amos Nyanga'ya Ogati

Pastor Amos Nyanga'ya Ogati Pastor Amos is the Founder of the Uzima Pentecostal Fellowship in Likoni, Mombasa Kenya, East Africa.

26/04/2026

Welcome to our Sunday Service. We are located at Mwananguvuze Likoni Mombasa. For more information contact us via Tel 0719512107/ 0706851194

UZIMA BAPTIST FELLOWSHIP MSA JUMAPILI YA PASAKA TAREHE 5/04/2026MUHUBIRI PASTOR JOEL NDULISOMO: MUNGU WA NYAKATIUTANGULI...
05/04/2026

UZIMA BAPTIST FELLOWSHIP MSA
JUMAPILI YA PASAKA TAREHE 5/04/2026
MUHUBIRI PASTOR JOEL NDULI

SOMO: MUNGU WA NYAKATI

UTANGULIZI
Maishani kuna vipindi na nyakati Mungu anajidhirisha na tunashuhudia kuwa tumemwona Mungu. Lakini pia kuna nyakati ambapo yesu alifika akauliza baba yangu mbona umeniacha. Hapa ina maana ukipata fursa itumie vizuri.

KANUNI ZA MAISHA YA ROHONI.

DHAMBI NA UTAKATIFU

Uwepo wa utakatifu ndio chanzo cha roho mtakatifu kuingia ndani ya MTU.
Uwepo wa DHAMBI ndio chanzo cha mapepo kuwa ndani MTU.

Mhubiri 9:11

Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote.

Mhubiri 10:5-8

Liko baa nililoliona chini ya jua, nalo ni k**a kosa litokalo kwake yeye atawalaye; ya kuwa upumbavu huwekwa mahali pa juu sana, nao wakwasi hukaa mahali pa chini.

Mimi nimeona watumwa wamepanda farasi, na wakuu wakienda kwa miguu juu ya nchi k**a watumwa.

Mwenye kuchimba shimo atatumbukia ndani yake; Na yeye abomoaye boma, nyoka atamwuma.

NGUVU YA MUNGU inayovunja kazi za ibilisi hutokana na utakatifu Ila Mamlaka nyuma YA hizo NGUVU inaletwa na wokovu.

1 Yohana 3:8-10

Atendaye dhambi ni wa Ibilisi; kwa kuwa Ibilisi hutenda dhambi tangu mwanzo. Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alidhihirishwa, ili azivunje kazi za Ibilisi.

Kila mtu aliyezaliwa na Mungu hatendi dhambi, kwa sababu uzao wake wakaa ndani yake; wala hawezi kutenda dhambi kwa sababu amezaliwa kutokana na Mungu.

Katika hili watoto wa Mungu ni dhahiri, na watoto wa Ibilisi nao. Mtu ye yote asiyetenda haki hatokani na Mungu, wala yeye asiyempenda ndugu yake.

05/04/2026

UWE NA IBADA YA BARAKA!

04/04/2026
IBADA YA MKESHA WA PASAKA SOMO: NGUVU YA WOKOVU KATIKA MSALABAMUHUBIRI:  Bishop Solomon Neema UTANGULIZI Msalaba wa yesu...
03/04/2026

IBADA YA MKESHA WA PASAKA
SOMO: NGUVU YA WOKOVU KATIKA MSALABA
MUHUBIRI: Bishop Solomon Neema

UTANGULIZI
Msalaba wa yesu ni ishara ya mizigo ya dhambi na vifungo pamoja Na hukumu ya wanadamu.

Mathayo 2:13-15

Na hao walipokwisha kwenda zao, tazama, malaika wa Bwana alimtokea Yusufu katika ndoto, akasema, Ondoka, umchukue mtoto na mama yake, ukimbilie Misri, ukae huko hata nikuambie; kwa maana Herode anataka kumtafuta mtoto amwangamize.

Akaondoka akamchukua mtoto na mama yake usiku, akaenda zake Misri;

Akakaa huko hata alipokufa Herode; ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa nabii, akisema,
Kutoka Misri nalimwita mwanangu.

Marko 15:25-32

Basi ilikuwa saa tatu, nao wakamsulibisha.

Palikuwa na anwani ya mash*taka yake iliyoandikwa juu, MFALME WA WAYAHUDI.

Na pamoja naye walisulibisha wanyang’anyi wawili, mmoja mkono wake wa kuume na mmoja mkono wake wa kushoto. Basi andiko likatimizwa linenalo, Alihesabiwa pamoja na waasi.

Nao waliokuwa wakipita njiani wakamtukana, wakitikisa-tikisa vichwa, wakisema, Ahaa! Wewe mwenye kulivunja hekalu na kulijenga katika siku tatu,

jiponye nafsi yako, ushuke msalabani.

Kadhalika na wakuu wa makuhani wakamdhihaki wao kwa wao, pamoja na waandishi, wakisema, Aliponya wengine; hawezi kujiponya mwenyewe.

Kristo, mfalme wa Israeli, na ashuke sasa msalabani tupate kuona na kuamini. Hata wale waliosulibiwa pamoja naye wakamfyolea.

YESU ALIKUJA ILI SISI TUPATE NGUVU.
Lupita Kwa msalaba yesu aliwaleta wanadamu karibu Na Mungu. Mfalme Herode aliposkia habari za YESU was Nazareth alianza kupanic.

Usishangae Kwa nini watu wakikiona wanaanza kuleta ugomvi. Neema ya Mungu ina kanuni YA kuvutia upinzani. Hata wakikupinga hawatakuweza.

Mafarisayo Na masadukayo waliinuka Kwa ajili ya kumponga Kristo hata wakamuua. Hawakujia kumbe kufa Kwake ndio Faida kwetu. Alipokufa yesu mmoja, Wana wengine walizaliwa. Hao Wana ndio Mimi Na wewe. Yesu aliamua kufauta mapenzi YA baba yake akaja Duniani.

Aliamua kuishi chini ya Mamlaka ya neno la Mungu. Watu wengi wanapokuwa Na changamoto huwa zinawapndoa Katika nafasi.

YESU alikuwa anaweka malengo ya anafanya Bidii kuyatimiza malengo yake.

Kutembea Katika mwili.
Kufanya miujiza
Kufungua wafu
Kuwafungua waliofungwa.

Wewe uko Na malengo gani. YESU alikuwa amepanga hata namna ya kutoka Katika mtego wa Mauti.

Nitalivunja hekalu Kwa siku moja Na litalijenga Kwa siku tatu. Akijua manabii walisema nini juu yake. Naamuru KWA Jina la yesu.

Jamii yako ipone
Watoto wapone
Kazi yako iinuke.

NGUVU YA MSALABA NI GANI?

1. MSAMAHA WA DHAMBI KWA NJIA YA DAMU YA YESU WAEFESO 4:7
2. UHURU KUTOKA KWA LAANA ZOTE WAGALATIA 3:13
3.

Ufunuo wa Yohana 2:7Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa ku...
16/01/2026

Ufunuo wa Yohana 2:7

Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.

Kumbe wapo watu ambao hawawezi kuliskia neno.

Ili MTU kuwa msikivu lazima kuwa utulivu kwenye mazingira.

Mambo mengine yote yanayomfanya MTU asimskie Roho, yanakuwa ni kelele. MTU anapoomba bila uwezo wa kumsikia Mungu maombi yake yanakuwa kelele.

1. Chochote unachokipenda kuliko Mungu ndio chanzo chako cha kutokumsikia Mungu.

2. Yeyote anayeishi akiwa na uwezo wa kumsikia mungu ni mshindi tayari.

WE ARE SAVED FOR FREE.WE ARE CELEBRATING THE JESUS OF NAZARETH.FEEL FREE TO JOIN US ON  25. 12. 2025HAPA UZIMA!
24/12/2025

WE ARE SAVED FOR FREE.

WE ARE CELEBRATING THE JESUS OF NAZARETH.

FEEL FREE TO JOIN US ON 25. 12. 2025

HAPA UZIMA!

Address

UKUNDA LUNGA LUNGA Road
Mombasa
80100

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Pastor Amos Nyanga'ya Ogati posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Pastor Amos Nyanga'ya Ogati:

Shortcuts

Share