21/07/2025
Announcement!!
Kesho 22/07/2025 kuanzia saa mbili asubuhi,ofosi ya civil registration kuria(births and deaths)from Kehancha watakuwa Ntimaru kwa DCC ofisi kusajili vyeti vya kuzaliwa na vifo kwa watu wa Ntimaru sub County.
Mahitaji:
1. Id ya wazazi na photocopy.
2. Sh. 500 ya registration of birth and death
3. Late registration forms kujazwa kwa wale hawana birth notifications.
Please tangazia watu wetu wafike kwa wingi,tumeletewa huduma karibu hiyo siku.