Holy trinity chesa sub parish

Holy trinity chesa sub parish The group based to chesamisi sub parish catholic church feel free to like our page

03/11/2024

Father, may your will be done on earth and in my life. Amen

31/10/2024

May the peace of the Lord be with you.

09/07/2023
🌹🌷🥀Happy Feast day 🥀🌷🌹Saint Peter and Saint Paul are said to be inseparable: indeed, together, they represent the whole ...
29/06/2023

🌹🌷🥀Happy Feast day 🥀🌷🌹
Saint Peter and Saint Paul are said to be inseparable: indeed, together, they represent the whole Gospel of Christ. They share the same feast day, for these two were one; and even though they suffered on different days, they were as one. Peter went first, and Paul followed. And so we celebrate this day made holy for us by the apostles' blood. Let us embrace what they believed, their life, their labors, their sufferings, their preaching, and their confession of faith.
🌹🌷🥀Happy Feast Day🥀🌷🌹

🙏🏻🙏🏻
24/06/2023

🙏🏻🙏🏻

24/06/2023

*MASOMO YA KILA SIKU*

*JUNI 23, 2023; IJUMAA:*

*JUMA LA 11 LA MWAKA*

*Mt. Yosefu Kafaso, Padre*

*SOMO 1:*

*2 Kor 11:18, 21-30*

Wengi wanajisifu kwa jinsi ya mwili, mimi nami nitajisifu. Nanena kwa jinsi ya kujidhili kana kwamba sisi tulikuwa dhaifu. Walakini, akiwa mtu anao ujasiri kwa lo lote, (nanena kipuuzi), mimi nami ninao ujasiri. Wao ni Waebrania? Na mimi pia. Wao ni Waisraeli? Na mimi pia wao ni, uzao wa Ibrahimu? Na mimi pia. Wao ni wahudumu wa Kristo? Nanena kiwazimu, mimi ni zaidi; katika taabu kuzidi sana; katika vifungo kuzidi sana; katika mapigo kupita kiasi; katika mauti mara nyingi. Kwa Wayahudi mara tano nalipata mapigo arobaini kasoro moja. Mara tatu nalipigwa kwa bakora; mara moja nalipigwa kwa mawe; mara tatu nalivunjikiwa jahazi; kuchwa kucha nimepata kukaa kilindini; katika kusafiri mara nyingi; hatari za mito; hatari za wanyang’anyi; hatari kwa taifa langu; hatari kwa mataifa mengine; hatari za mjini; hatari za jangwani; hatari za baharini; hatari kwa ndugu za uongo; katika taabu na masumbufu; katika kukesha mara nyingi; katika njaa na kiu; katika kufunga mara nyingi; katika baridi na kuwa uchi. Baghairi ya mambo ya nje, yako yanijiayo kila siku, ndiyo maangalizi ya makanisa yote. Ni nani aliyedhaifu, nisiwe dhaifu nami? Ni nani aliyekwazwa nami nisichukiwe? Ikinibidi kujisifu, nitajisifu mambo ya udhaifu wangu.

*WIMBO WA KATIKATI:*

*Zab. 34:1-6*

Nitamhimidi Bwana kila wakati,
Sifa zake zi kinywani mwangu daima.
Katika Bwana nafsi yangu itajisifu,
Wanyenyekevu wasikie wakafurahi.

(K)Wenye haki Bwana anawaponya na taabu zao zote.

Mtukuzeni Bwana pamoja nami,
Na tuliadhimishe jina lake pamoja.
Nalimtafuta Bwana akanijibu,
Akaniponya na hofu zangu zote. (K)

Wakamwelekea macho wakatiwa nuru,
Wala nyuso zao hazitaona haya.
Maskini huyu aliita, Bwana akasikia,
Akamwokoa na taabu zake zote. (K)

*INJILI:*

*Mt 6:19-23*

Yesu aliwaambia wanafunzi wake: Msijiwekee hazina duniani, nondo na kutu viharibupo na wevi huvunja na kuiba;

10/01/2023

Mtu yeyote amchaye Mungu na kutenda Haki hukubaliwa naye..

13/11/2022

Jiwe walilo likataa waashi, limekua jiwe kuu la pembeni...tafakari hii

13/11/2022

Nimekuweka uwe nuru ya mataifa ili upate kuwa wakovu hata mwisho wa Dunia......

11/10/2022

Siyo lazima ufanikiwe leo,hata kesho ni siku ya mafanikio yako,tuwe na tumaini kuwa yote yanawezekana.

Address

East Africa �
Kilimani
HOLY

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Holy trinity chesa sub parish posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Holy trinity chesa sub parish:

Share