26/08/2026
Bwana yesu asifiwe siku ya leo Mwenyezi Mungu Akutie nguvu uweze kumaliza mwezi wa nane salama
Unaenda kuwa wa baraka kwa mataifa Usifikirie MUNGU alikusahau mwanangu 🙏 APANA, siku yako Ni leo upokee NYOTA yako