02/07/2024
Nguvu ya SERIKALI hutokana na watu, *THE POWER OF THE GOVERNMENT COMES FROM THE PEOPLE*. Serikali haina nguvu bila watu. John Locke anakumbusha kwamba *Natural Right* ni kwamba binadamu amezaliwa na haki zake za msingi kabisa. Thomas Jefferson aliwahi kusema kwamba WE *ARE NATURALLY EQUAL*. Ni jukumu la serikali kulinda haki za watu wake na siyo vinginevyo. Serikali itakaposhindwa kufanya hivyo inapoteza uhalali wa kuwa madarakani. John Locke anatambulika k**a *FATHER OF LAW*. 📌 K**a unawacheka Gen-Z na kuwaona wajinga kwa wanachokifanya, ni kwamba WEWE hutambui majukumu YAKO na haki YAKO ya msingi au pengine hujabahatika kusoma MISINGI YA UTAWALA BORA...!!!