11/05/2026
5 ième CELPA SMYRNE GOMA
CULTE DOMINICAL DU 10 MAI 2026
📖 PRÉDICATION 📖
ORATEUR : MZEE TOUSSAINT BIFUKO
THEME: " BABA, USHUHUDA WAKO UNANI TOSHA "
VERSETS BIBLIQUES : JOB 1-11; JOB 1: 20-22
Mukristo jifunze ku shuhudia wenzako vizuri
Ushuhuda mbaya ambao unaeza towa juu ya mwenzako, una vunja moyo pia una mrudisha nyuma.
Kila mtu ana ushuhuda wake , matendo ya kila mtu ina patiya mtu ushuhuda.
Wanadamu wanaeza pana ushuhuda , na katika ushuhuda wao wananaeza danganyika
Lakini Mungu aki shuhudia mtu , ushuhuda wake ni wa kweli na Mungu haezi ndangaya ao ku dangayakika kwamwe.
Walio wa Mungu, mbingu ina wa shuhudia .
Kuna watu ndani ya biblia amabao wanakua na ushuhuda mzuri, tuki iga mfano wao maisha yetu yata kuwa mazuri; kwa mfano "YOBU"
YOBU, alishuhudiwa na Mungu mwenyewe mbele ya shetani.
Mungu haezi shuhudia mtu mbele ya adui k**a hapendi ku mfezeresha watu wa maisha yako.
Tupende sana kuwa na ushuhuda mzuri mbele za Mungu,
Ili tuwe na ushuhuda mzuri kuna ngazi fulani yenye kila mmoja wetu anapasha fikia
Mwaminifu ana ogopa Mungu , na kwa yote akuna zambi ndani yake
Shetani alipenda alete ushuhuda mbaya ya yobu mbele za Mungu ; aki sema yakwamba anamu ogopa Mungu sababu alimupa vyote naku chunga mali yake yote .
Basi Mungu aka mu ruhusu anyangaye vyote lakini asiguse nafsi yake .
Biblia ina tu ambiya yakwamba , katika yote yobu hakutenda zambi ata limoja
K**a wakristo kufuatana na hali yetu , mwenendo wetu, maisha yetu , nini Mungu anaeza jivunia kwetu ?
Mbingu ina tu shuhudia namna gani ?
K**a wakristo tutafute ushuhuda mzuri kutoka kwa bwana .
Tuishi maisha ya utakaso , tutafute sana ku mpedeza Mungu kila siku ndani ya maisha.
MUNGU WETU ATU WEZESHE KUA NA USHUHUDA MZURI MBELE ZAKE , AMEN !
SERVICE MEDIA SMYRNE