8e CEPAC Siloamu/Centre AHADI IKOBO

8e CEPAC Siloamu/Centre AHADI IKOBO Ahadi IKOBO organise chaque jeudi un culte de prière dans la chambre de prière KARIBU

Synthèse de la journée dominicale du 4/2/2024__________________________Prédicateur: EV Christian Kafeyezaburi 1,1-3Thème...
04/02/2024

Synthèse de la journée dominicale du 4/2/2024
__________________________
Prédicateur: EV Christian Kafeye

zaburi 1,1-3
Thème: Je unataka kua mwenye Heri?

Mambo ina fanya mutu awe mwenye Heri
_____________________________
Tufahamu ya Kwamba vitu vya heri vina garama yake, nani sherti tuvitumikie.

*Vikundi vitatu tuta epuka ili tuwe na heri:*

1️⃣ *Mutu ambao wanaenda katika sheria ya wabaya (Conseil des méchants)*. K**a una taka kua na heri, penda kwanza heri ambayo ndugu yako ame pata.

2️⃣ *Wenye zambi*: ana heri mutu ambae hakusimama miongoni ya wa tenda zambi.

3️⃣ *Watu Wenye mizaa/ wenye ziaka*: Tufanye hange na mizaa/ hange na kuzoeya zoeya.

K**a una taka kua mwenye heri ni sherti ujiunge na watu ```ambao wanatafuta furaha katika sheriya ya Mungu```.

Dimanche 28/01/2024Orateur : Daniel KifutweThème : KUELEWA BARAKA ZA MUNGU Luka 11:3Mezali 30:8-9Kumbukumbu 8:2-3Mwanada...
28/01/2024

Dimanche 28/01/2024
Orateur : Daniel Kifutwe
Thème : KUELEWA BARAKA ZA MUNGU
Luka 11:3
Mezali 30:8-9
Kumbukumbu 8:2-3
Mwanadamu haitaji tu chakula cha mwili anahitaji piya chakula cha kiroho
Chakula kinacho faa ni kile ambacho kina saidia mtu kuwa na afia nzuri
Wamoja wamepata chakula kisicho faa na hiki kimewaharibu
Katika maisha yako ya kila siku tafuta kujua nini inakufaa
Ili maisha yako ya kesho yaboreke inabidi kufanya misingi leo
Kuelewa baraka za Mungu maishani ni kukubali kwamba Mungu ndiye jibu kwa yote
Kutegemea Kikamilifu Mungu
Kuna wakati Mungu anaweza kubali mazito yakupate ili ukuu wake uonekane. Katika hali ngumu inabidi kutegemea Mungu ili tuelewe baraka zake.
Kumbukumbu 8:11-18

Félicitations au couple   et   pour leur mariage civil ce vendredi 28 juillet 2023.
28/07/2023

Félicitations au couple et pour leur mariage civil ce vendredi 28 juillet 2023.

𝚂𝚢𝚗𝚝𝚑𝚎̀𝚜𝚎 𝚍𝚎 𝚕𝚊 𝚓𝚘𝚞𝚛𝚗𝚎́𝚎 𝚍𝚞 𝚍𝚒𝚖𝚊𝚗𝚌𝚑𝚎 23 𝚓𝚞𝚒𝚕𝚕𝚎𝚝 2023Thème :𝐌𝐚𝐦𝐛𝐨 𝐟𝐮𝐥𝐚𝐧𝐢 𝐚𝐦𝐛𝐚𝐲𝐨 𝐦𝐮𝐤𝐫𝐢𝐬𝐭𝐨 𝐚𝐬𝐢𝐧𝐠𝐞𝐥𝐢𝐬𝐚𝐡𝐚𝐮Orateur : 𝙹𝚘𝚑𝚗 𝚂𝚘𝚗𝚐...
23/07/2023

𝚂𝚢𝚗𝚝𝚑𝚎̀𝚜𝚎 𝚍𝚎 𝚕𝚊 𝚓𝚘𝚞𝚛𝚗𝚎́𝚎 𝚍𝚞 𝚍𝚒𝚖𝚊𝚗𝚌𝚑𝚎 23 𝚓𝚞𝚒𝚕𝚕𝚎𝚝 2023
Thème :𝐌𝐚𝐦𝐛𝐨 𝐟𝐮𝐥𝐚𝐧𝐢 𝐚𝐦𝐛𝐚𝐲𝐨 𝐦𝐮𝐤𝐫𝐢𝐬𝐭𝐨 𝐚𝐬𝐢𝐧𝐠𝐞𝐥𝐢𝐬𝐚𝐡𝐚𝐮
Orateur : 𝙹𝚘𝚑𝚗 𝚂𝚘𝚗𝚐𝚊 𝙵𝚞𝚖𝚋𝚊

2 Samuel 6:18-23
✅𝙺𝚞𝚝𝚘𝚕𝚎𝚢𝚊 𝙼𝚞𝚗𝚐𝚞 𝚜𝚊𝚍𝚊𝚔𝚊
✅𝙺𝚞𝚔𝚞𝚜𝚊𝚗𝚢𝚒𝚔𝚊 𝚙𝚊𝚖𝚘𝚓𝚊 𝚗𝚊 𝚠𝚎𝚗𝚐𝚒𝚗𝚎. Waebrania, 10:25
Kuna faida nyingi .kukusanyika pamoja. Hapo ndipo Mungu anashusha baraka
Linalo fanya kuwa watu hawafurahie kukusanyika ni sababu ya zambi, wengine wanakimbiya kutowa sadaka, wengene
𝙵𝚊𝚒𝚍𝚊 𝚣𝚊 𝚔𝚞𝚔𝚞𝚜𝚊𝚗𝚢𝚒𝚔𝚊:
📍 kuonyana
📍Kufundishana neno la Mungu
✅𝚃𝚞𝚜𝚒𝚜𝚊𝚑𝚞 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚝𝚞𝚔𝚘 𝚠𝚊𝚐𝚎𝚗𝚒 𝚗𝚊 𝚠𝚊𝚙𝚒𝚝𝚊𝚓𝚒
✅𝚄𝚜𝚒𝚜𝚊𝚑𝚊𝚞 𝚔𝚠𝚎𝚗𝚢𝚎 𝙼𝚞𝚗𝚐𝚞 𝚊𝚕𝚒𝚔𝚞𝚝𝚘𝚜𝚑𝚊𝚔𝚊. Kumbukumbu la torati 8:1

*SYNTHESE YA MAHUBIRI YA SIKU YA MUNGU, 16/07/2023*___________________________Muhibiri : Past. Théodore KisiraniMwalimu ...
16/07/2023

*SYNTHESE YA MAHUBIRI YA SIKU YA MUNGU, 16/07/2023*
___________________________
Muhibiri : Past. Théodore Kisirani
Mwalimu alisoma katika titabu cha Danieli 3: 18.
Danieli 6:3
Kichwa ya neno : **NANI ATA PEWA HESHIMA NA MUNGU ❔**
```
Watu ambao wata pewa heshima na Mungu, ndio hawa:
➡️ *Watu ambao hawana wivu* ( Watu ambao wana samini huduma za wenzao ...)
➡️ *Watu ambao wana musimamo katika kumu tumikia Mungu* (wanao heshimu Mungu na kumupa nguvu yao kwaku fanya kazi)
➡️ *Watu ambao wana tii neno la Mungu* (wanao sema kwinzi vile Mungu ana penda wa seme,...). Tusicheze na neno la Mungu...
➡️ *Watu ambao wana tembea ndani ya kweli na haki...* (Tutafute kumu pendeza Mungu, linda moyo wako kuliko vyote, kimbia machafuko ya dunia,...)

```Tutafute kumu pendeza Mungu ili tubaki washindi Siku zote na ku pokea heshima toka kwake```

15/07/2023
15/07/2023

Un.nouveau jour, une nouvelle opportunité.
Bienvenue à notre culte dominical de ce 16 juillet 2023 au centre AHADI IKOBO de 9h à 12 heures.
Cordiale Bienvenue

Adresse

Avenue IKOBO, Quartier Mabanga Sud, Référence Bureau PAM
Goma
B.P200

Notifications

Soyez le premier à savoir et laissez-nous vous envoyer un courriel lorsque 8e CEPAC Siloamu/Centre AHADI IKOBO publie des nouvelles et des promotions. Votre adresse e-mail ne sera pas utilisée à d'autres fins, et vous pouvez vous désabonner à tout moment.

Contacter Le Lieu De Culte

Envoyer un message à 8e CEPAC Siloamu/Centre AHADI IKOBO:

Partager

Type