04/02/2024
Synthèse de la journée dominicale du 4/2/2024
__________________________
Prédicateur: EV Christian Kafeye
zaburi 1,1-3
Thème: Je unataka kua mwenye Heri?
Mambo ina fanya mutu awe mwenye Heri
_____________________________
Tufahamu ya Kwamba vitu vya heri vina garama yake, nani sherti tuvitumikie.
*Vikundi vitatu tuta epuka ili tuwe na heri:*
1️⃣ *Mutu ambao wanaenda katika sheria ya wabaya (Conseil des méchants)*. K**a una taka kua na heri, penda kwanza heri ambayo ndugu yako ame pata.
2️⃣ *Wenye zambi*: ana heri mutu ambae hakusimama miongoni ya wa tenda zambi.
3️⃣ *Watu Wenye mizaa/ wenye ziaka*: Tufanye hange na mizaa/ hange na kuzoeya zoeya.
K**a una taka kua mwenye heri ni sherti ujiunge na watu ```ambao wanatafuta furaha katika sheriya ya Mungu```.