Sheikh Sulaimani doyen/Goma

Sheikh Sulaimani doyen/Goma Kutafuta elimu ni lazima kwa kila mwislam

Ewe Mwenyezi Mungu, tukubalie swaumu zetu, swala zetu na dua zetu. Utusamehe madhambi yetu, ututakase nyoyo zetu, na utu...
17/02/2026

Ewe Mwenyezi Mungu, tukubalie swaumu zetu, swala zetu na dua zetu. Utusamehe madhambi yetu, ututakase nyoyo zetu, na utuandike miongoni mwa wenye kufaulu katika mwezi huu mtukufu.

Valentin day haifai katika uislaamNatowa Nasaha
14/02/2026

Valentin day haifai katika uislaam

Natowa Nasaha

05/02/2026

Nasomesha...

Kwa kina Mama na Dada .

Tizameni na zingetiyeni sana yanayosema ndani ya hii vidéo

Nasomesha.Hizi tabiya zakujali watu wakati hawapo tena duniyani tuziache, k**a ni mapenzi basi tupendane tukiwa wazima.K...
05/02/2026

Nasomesha.

Hizi tabiya zakujali watu wakati hawapo tena duniyani tuziache, k**a ni mapenzi basi tupendane tukiwa wazima.

Kipenzi cha watu na Malaaika

🟢🇮🇩 INDONESIA: WAPENZI WAWILI WAMETANDIKWA VIBOKO 140 MBELE YA WATU KWA KUJAMIANA😲. Ni adhabu kali iliyotolewa siku ya A...
03/02/2026

🟢🇮🇩 INDONESIA: WAPENZI WAWILI WAMETANDIKWA VIBOKO 140 MBELE YA WATU KWA KUJAMIANA😲.

Ni adhabu kali iliyotolewa siku ya Alhamisi huko Aceh, Indonesia.
WAPENZI WAWILI WAMETANDIKWA VIBOKO 140 MBELE YA WATU KWA KUJAMIANA KWA INJE YA SHERIA NA KUNYWA POMBE.

Mbele ya umma, mwanamume na mwanamke walipigwa mgongoni kwa fimbo. *Mwanamke alipoteza fahamu baada ya adhabu hiyo*. Jimbo hilo ndilo pekee nchini Indonesia linalotekeleza sheria ya Kiislamu kwa ukali. Mkuu wa polisi alisema: 🗣️ "Hatufanyi ubaguzi wowote". 😲 Hata askari mmoja wa polisi alipigwa fimbo siku hiyo hiyo kwa kosa lile lile. Adhabu hizi za umma zinaungwa mkono na sehemu ya watu wa eneo hilo ili kuhakikisha sheria za kidini zinatimizwa. Ni adhabu kali inayokumbusha ukali wa sheria zinazotumika katika eneo hilo la dunia.

Allah atuweke miongoni mwa wanao heshim mipaka yake.

17/08/2025
18/11/2023

Tutakuwa katika hatari pale tunapo ifanya duniya itawale nyoyo zetu.

Allah atunusuru

Yaa Rabb wajaaliye Nusra yako waja wako Palestine.. balaa limekua kubwa yaa Rabb...Inna lillahi wa Inna ilaihi Raajioun
06/11/2023

Yaa Rabb wajaaliye Nusra yako waja wako Palestine.. balaa limekua kubwa yaa Rabb...

Inna lillahi wa Inna ilaihi Raajioun

Mkono wa mtoto  💔🇵🇸Mara baada ya nyumba yao kupigwa makombora na wanajeshi wa Israeli, uzito wa matofali na vifusi uliuz...
02/11/2023

Mkono wa mtoto 💔🇵🇸

Mara baada ya nyumba yao kupigwa makombora na wanajeshi wa Israeli, uzito wa matofali na vifusi uliuzamisha mwili wake wote.

Katika harakati za kuomba msaada alijitahidi sana kunyoosha mkono wake juu k**a ishara ya kuomba kuokolewa lakini ilishindikana.

Umauti ukamchukua huku mkono wake huo ukiwa juu k**a unavyouona; Binafsi nimelia sana peke yangu mara baada ya kuona tukio hili.

Ama hakika picha hii ni moja kati ya uthibitisho wa wazi kabisa ambao unatoa ishara na tafsiri kuu ya namna taifa la Israeli linavyofanya mauaji ya kinyama huko kwenye ukanda wa Gaza.

Allah awanusuru ndugu zetu huko Palestine

Yaa ALLAH (SWT), Alhamdoullillah kwa nafasi hii ambayo unatujalia sio tu kuwa hai lakini zaidi ya yote tukiwa na afya nj...
20/10/2023

Yaa ALLAH (SWT),

Alhamdoullillah kwa nafasi hii ambayo unatujalia sio tu kuwa hai lakini zaidi ya yote tukiwa na afya njema.

Sahihisha ibada zetu na utukabiliye maombi yetu.

tupe rehema, msamaha na raha wakati wa uhai wetu.

Kwa walio tanguliya, twakuomba uwajaaliye amani na utulivu katika Bustani ya Kifahari ya Jannatul Firdawsi.

Kwa wagonjwa, wajaaliye Shifaa ya haraka.

Kwa wanaoteseka, wajaaliye msaada kila wakati.

Aamiin Yaa Rabbal Alamiin

WAJICHORA VIGANJA K**A ISHARA YA KUTAMBULIWA KIRAHISI WATAKAPOUAWA 🇵🇸🇮🇱Watoto wa Kipalestina waliopo kwenye ukanda wa Ga...
14/10/2023

WAJICHORA VIGANJA K**A ISHARA YA KUTAMBULIWA KIRAHISI WATAKAPOUAWA 🇵🇸🇮🇱

Watoto wa Kipalestina waliopo kwenye ukanda wa Gaza,

Wameanza kuandika majina yao kwenye viganja vya mikono yao ili kuwawezesha wazazi wao waweze kuitambua miili yao pale ambapo watashambuliwa kwa makombora ya anga kutoka Israeli na kufa.

Ndugu Zangu katika ibada zetu basi tusiwasahau ndugu zetu wa Palestina...
Tumuombe Allah awanusuru na hayo mashambulizi.

Adresse

Goma

Notifications

Soyez le premier à savoir et laissez-nous vous envoyer un courriel lorsque Sheikh Sulaimani doyen/Goma publie des nouvelles et des promotions. Votre adresse e-mail ne sera pas utilisée à d'autres fins, et vous pouvez vous désabonner à tout moment.

Contacter Le Lieu De Culte

Envoyer un message à Sheikh Sulaimani doyen/Goma:

Partager