Évangéliste Moïse

Évangéliste Moïse Kanisa la kristo yani E.E.E (église évangélique apostolique) inawasii nyote kujiunga katika ufumbuzi wa neno la kweli la MUNGU

12/12/2025

Somo:Sema Naye(Yesu) anasikia

A. Luka 5:12-13
[12]Ikawa, alipokuwa katika mmojawapo wa miji ile, tazama, palikuwa na mtu amejaa ukoma; naye alipomwona Yesu alianguka kifudifudi, akamwomba akisema, Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa.
[13]Naye akaunyosha mkono wake, akamgusa akisema, Nataka; takasika. Na mara ukoma wake ukamwondoka.
B. Jinyenyekeze (alianguka) kwa Yesu kristo
C. (i) Yesu kristo ananyoosha mkono (ii) Anagusa mtu (iii) Huponya

Ushauri
Wapendwa tumeona Yesu kristo anasubiri useme shida Yako. Yesu kristo husikia na kujibu au kutekeleza kwa kuondoa shida Yako

Sala
Asante sana Yesu kristo kwa kutuonyesha unasubiri tulete shida zetu kwako. Yesu kristo tunakuja kwako kwa kukuheshimu, kukuabudu na kukusifu kwani baraka na nguvu ziko kwako. Tunaomba utuondolee vikwako ktk maisha yetu, huduma zetu na nchini kwetu ktk jina lako Yesu kristo. Amina

Mwanafunzi wa Yesu. Bishop Moses Amissi Bukavu Drcongo tel 0992112596

19/09/2025

* Je! Wewe ni tofauti*?

*Mkristo anapaswa kutambuliwa kwa urahisi k**a tofauti na watu wengine.*

*Tofauti k**a mwanga ni kutoka gizani.*

1Pe 2: 9-12 KJV 9 *Lakini wewe ni kizazi kilichochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa kipekee; :* 10 Ambayo wakati uliopita haikuwa watu, lakini sasa ni watu wa Mungu: ambayo walikuwa hawajapata huruma, lakini sasa wamepata huruma. 11 mpendwa, ninakuomba k**a wageni na mahujaji, huepuka tamaa za mwili, ambazo zinapigana na roho; Kuwa na mazungumzo yako kwa uaminifu kati ya Mataifa: kwamba, wakati wanazungumza dhidi yako k**a watendaji, *wanaweza kwa kazi zako nzuri, ambazo wataona, kumtukuza Mungu katika siku ya kutembelea.

*Uko kwenye show na kuzingatiwa katika yote unayofanya mbele za Mungu na mwanadamu.*

PHI 2: 14-16 KJV 14 *Fanya vitu vyote bila kunung'unika na mizozo: 15 ili uweze kuwa *bila lawama na isiyo na madhara, wana wa Mungu, bila kukemea, katikati ya taifa lililopotoka na lenye kupotosha, kati yao unaangaza k**a taa ulimwenguni;* 16 kushikilia neno la maisha; Ili nifurahie katika Siku ya Kristo, kwamba sijakimbia bure, sijafanya kazi bure.

Ikiwa unafikiria wewe ni Mkristo basi lazima utunze kile unachochukua ndani ya moyo wako

Luk 11: 33-34 KJV 33 Hakuna mtu, wakati amewasha mshumaa, huiweka mahali pa siri, wala chini ya basi, lakini kwenye mshumaa, kwamba wale wanaokuja wanaweza kuona taa. 34 Mwanga wa mwili ni jicho: kwa hivyo wakati jicho lako ni moja, mwili wako wote pia umejaa mwanga; Lakini wakati jicho lako ni mbaya, mwili wako pia umejaa giza.

Luk 11: 35-36 KJV 35
*Jihadharini na kwamba taa ambayo iko ndani yako sio giza. kukupa nuru.*

K**a vile nabii wa uwongo anaweza kutambuliwa na jinsi anaishi, kwa hivyo Mkristo anaweza kutambuliwa na matunda yake.

Mat 7: 15-21 KJV 15 Jihadharini na manabii wa uwongo, ambao wanakujia kwa mavazi ya kondoo, lakini kwa ndani ni mbwa mwitu. 16 Mnawajua kwa matunda yao. Je! Wanaume wanakusanya zabibu za miiba, au tini za miiba? 17 Hata hivy

29/08/2025

KANISA LA KRISTO.
Wandugu zangu ninataka nikuoneshe u kweli kuusu kanisa ambayo Mungu anakubali zaidi . Tunajuwa ya kwamba ma kanisa ni mengi ila wachanguliwa niwa chache tukisoma kitabu cha WAGALATIYA 3:27 inasema nyiye wote muliobatizwa katika kristo Mu memuvaa Kristo île ni jambo inayo maanisha kwamba watu wote ambao walio batizwa katika jina la yesu kristo ni ishara kubwa wamemuvaa yeye.
Kuvaa kristo siyo katika kila ubatizo , tunayo ubatizo wa kipekee ambayo ukibatizwa nayo pâle utamuvaa kristo yesu.
Waroma 6:3-4. Inasema ya kwamba amufahamu ? Sisi sote tuliobatizwa katika yesu kristo tulibatizwa katika kufa kwake?
Ivi tulizikwa pamoja naye kwa njiya ya ubatizo katika kufa.
Ndugu yangu k**a ulibatizwa katika jina la yesu kristo pâle ulikufa n'a kufufuka pamoja naye pâle wewe umekuwa kanisa la kristo,
Wewe ambaye ulibatizwa katika jina tatu yani baba, mwana, Na roho mutakatifu sijuwe umemuvaa Nani.
Tuone piya wakolosai 2:12 mukizikwa pamoja naye kwa njiya ya ubatizo, n'a kwa uu mukafufuliwa naye.
Kanisa la kweli ni Wale walio kufa pamoja n'a bwana wetu Yesu kristo kwa njiya ya ubatizo katika jina la yesu kristo.
Yohane 15:5-6.
Mimi ni muzabibu nanyi matawi, MWenye KUKAA ndani yangu n'a mimi ndani yake huyu anazaa sana kwasababu pasipo mimi amuwezi kufanya neno lolote. Mutu asipo kaa ndani yangu anatupwa inje k**a tawi n'a anakauka n'a watu wanayakusanya n'a kuyatupa kwa moto.
Mpendwa musikilizaji utakaa ndani ya yesu namna gani wala yeye atakaa ndani Yako namna gani ?
Watu wengi u amini kwa midomo Ila mioyo yawo iko mbali n'a bwana wetu Yesu kristo.
Amini yesu Kristo upate okovu tangu sasa.
Kwa mafundisho ifuatayo nitakuonesha namna gani unaeza KUKAA ndani ya yesu n'a yeye piya ndani Yako .
Ubatizo wa kweli ni upi? Ili ukubaliwe n'a bwana?
Usichoke kufuata maneno ya Mungu amen

29/08/2025

Bwana wetu Yesu kristo asifiwe. Kwa wote watakao nifuata nitaomba uvumilivu wako katika bwana wetu Yesu kristo.
Mimi ni mutumishi wenu Moïse nikiwa KAVUMU ndani ya kanisa E E A église évangélique apostolique ninataka tuongeye kuusu neno la kweli, maana tuna makanisa mengi Ila siyo wote Waliyo itwa n'a MUNGU baba . Ubaki tu katika MUSIMAMO nitakuonesha kanisa la kweli .
Santé kwa wote wa ndugu

29/08/2025

Tusubiri maneno matamu ambayo itakutowa katika upotevu.
Usingelikubali kila dini sababu dini nyingi zinapoteza watu

Adresse

KAVUMU/KASHUSHA
Bukavu

Site Web

Notifications

Soyez le premier à savoir et laissez-nous vous envoyer un courriel lorsque Évangéliste Moïse publie des nouvelles et des promotions. Votre adresse e-mail ne sera pas utilisée à d'autres fins, et vous pouvez vous désabonner à tout moment.

Partager