16/05/2026
Wow leo njo kujuwa , na zani na weye pia !
Kuna mambo mengi na mengi tunayaona bila kujuwa ni nini, na usipo penda kujuwa utabaki haujuwe na ni hatari sana. Na ndani ya neno ya Mungu muna mengi ambayo hauja juwa.... tuna kukaribisha ku Eglise Christ Sauve, tufunzwe sote na neno la Mungu