10/08/2026
Wachungaji n’a wakristo wapendwa, Tunawatakia juma mupya y’a baraka. Jana kuamukia leo kanisa la CBCA Cidasa limepatwa n’a ajali y’a moto. Sehemu y’a bureau n’a ma toilettes zimeunguzwa na nyumba y’a muchungaji imebomolewa. Hivi wako kanisani. Avenue imepoteza nyumba nyingi. Tuombee kanisa hili n’a tuwasaidie. Urgence ni kuweka lupango ili vitu vilivyo nusurika visiibiwe n’a wajambazi.
Tupendane tukiwa haï !
Wakristo wa Cidasa Mungu awatiye nguvu n’a kuendelea kuwapa upendo kwa kanisa lake. Kwa ajili y’a kusaidia haraka kanisa hili, ninaomba kila mutumishi, mukristo na rafiki wa poste Bukavu kutuunga mukono kwa njia y’a kuleta linjanja, ciment wala cuma moja. Tunaweza kutuma kwa namba hii :0991936778 ao kuleta binafsi kwa caissier wa Poste. Umoja ndiyo ngu yetu.
Ninawashukururu. ✍🏾RPS BUKAVU