8 ème CEPAC CARMEL MJV.

8 ème CEPAC CARMEL MJV. Paroles de Jésus-Christ :
Puis il leur dit : Allez partout dans le monde, et prêchez la bonne nouvelle à toute la création. Marc 16:15-16

Celui qui croira et qui sera baptisé sera sauvé, mais celui qui ne croira pas sera condamné.

Jambo.Mungu wetu ni MWAMINIFU. Kila kinachofanyika kwa utukufu wake, yeye pekee anajionyeshaka.Kwa mbali na karibu,kwa M...
27/04/2026

Jambo.
Mungu wetu ni MWAMINIFU.
Kila kinachofanyika kwa utukufu wake, yeye pekee anajionyeshaka.
Kwa mbali na karibu,kwa Maombi, kwa utoaji, kwa maudhuriaji, mashauri,bidii,kujitoa
Bwana aonaye kila Mmoja,mkubwa k**a vile mdogo, Mtumishi k**a vile mkristo, Muhubiri na wote walio Tufata mbali na Karibu pokeeni shukrani kwa yote Mungu aliwawezesha na Nina amini ataendelea kutenda sababu siyo bado mwisho, yeye Bwana wa Kanisa la CEPAC CARMEL MAJOR VANGU,
AWAINULIE USO WAKE NA KUWABARIKI, NA KUJIBU KWA MAHITAJI YENU YAWE YA KIROHO NA KIMWILI PAMOJA NA BWANA YESU KRISTO.
AMEN.

FINAL Revivez en images les temps forts de Notre CROISADE ÉVANGÉLISATION du 24. 04.2026Officiant : Papa Martin BubalaPré...
27/04/2026

FINAL
Revivez en images les temps forts de Notre CROISADE ÉVANGÉLISATION du 24. 04.2026

Officiant : Papa Martin Bubala

Prédicateur : Pasteur Éric kitabo Mbilizi

Thème : >

Référence biblique : 2 MAMBO YA NYAKATI 20:14-30

ZABURI : 100: 1-2

2 Mambo ya Nyakati 20:14-30

14.Ndipo Yahazieli mwana wa Zekaria, mwana wa Benaya, mwana wa Yeieli, mwana wa Matania, Mlawi, wa wana wa Asafu, akajiliwa na roho ya BWANA, katikati ya kusanyiko;

15.akasema, Sikieni, Yuda wote, nanyi mkaao Yerusalemu, na wewe mfalme Yehoshafati; BWANA awaambia hivi, Msiogope, wala msifadhaike kwa ajili ya jeshi kubwa hili; kwani vita si yenu bali ni ya Mungu.

16.Kesho shukeni juu yao; tazameni, wanakwea kwa kupandia Sisi; nanyi mtawapata penye mwisho wa bonde, mbele ya jangwa la Yerueli.

17.Hamtahitaji kupigana vita, jipangeni, simameni, mkauone wokovu wa BWANA ulio pamoja nanyi, enyi Yuda na Yerusalemu; msiogope, wala msifadhaike; kesho tokeni juu yao; kwa kuwa BWANA yu pamoja nanyi.

18.Yehoshafati akainama kichwa, kifulifuli; wakaanguka mbele za BWANA Yuda wote na wakaao Yerusalemu, wakimsujudia BWANA.

19.Na Walawi, wa wana wa Wakohathi na wa wana wa Wakorahi, wakasimama ili wamsifu BWANA, Mungu wa Israeli, kwa sauti kuu sana.

20.Wakaamka asubuhi na mapema, wakaenda nje katika jangwa la Tekoa; nao walipokuwa wakitoka, Yehoshafati akasimama, akasema, Nisikieni, enyi Yuda nanyi wenyeji wa Yerusalemu; mwaminini BWANA, Mungu wenu, ndivyo mtakavyothibitika; waaminini manabii wake, ndivyo mtakavyofanikiwa.

21.Naye alipokwisha kufanya shauri na watu, akawaweka wale watakaomwimbia BWANA, na kumsifu katika uzuri wa utakatifu, wakitoka mbele ya jeshi, na kusema, Mshukuruni BWANA; kwa maana fadhili zake ni za milele.

22.Nao walipoanza kuimba na kusifu, BWANA akaweka waviziao juu ya wana wa Amoni, na Moabu, na wa mlima Seiri, waliokuja juu ya Yuda; nao wakapigwa.

23.Kwani wana wa Amoni na wa Moabu waliwaondokea wenyeji wa mlima Seiri kuwaulia mbali na kuwaharibu; nao walipokwisha kuwakomesha hao wakaao Seiri, wakajitia kuharibu kila mtu mwenziwe.

24.Hata Yuda walipofika mnara wa kulindia wa jangwani, wakalitazama hilo jeshi; nao, angalia, walikuwa maiti walioanguka nchi, wala hapana aliyeokoka.

25.Nao Yehoshafati na watu wake walipokuja kuchukua nyara zao, wakaona kati yao wingi wa mali, na mavazi, na johari za thamani, walivyojivulia, zaidi kuliko wawezavyo kuchukua; wakawa siku tatu katika kuteka nyara, maana zilikuwa nyingi sana.

26.Hata siku ya nne wakakusanyika katika bonde la Baraka; maana ndipo walipombarikia BWANA; kwa hiyo jina lake mahali pale pakaitwa Bonde la Baraka hata leo.

27.Kisha wakarudi, kila mtu wa Yuda na Yerusalemu, na Yehoshafati mbele yao, ili kuurudia Yerusalemu kwa furaha; kwa kuwa BWANA amewafurahisha juu ya adui zao.

28.Wakafika Yerusalemu wenye vinanda vinubi na mapanda kwenda nyumbani kwa BWANA.

29.Ikawa hofu ya Mungu juu ya falme zote za nchi, waliposikia ya kuwa BWANA amepigana juu ya adui za Israeli.

30.Basi ukatulia ufalme wake Yehoshafati; kwa sababu Mungu wake alimstarehesha pande zote.

Zaburi 100:1-2

1.Mfanyieni BWANA shangwe, dunia yote;

2.Mtumikieni BWANA kwa furaha;
Njoni mbele zake kwa kuimba;

TUNASHUKURU KWA WOTE WALIO TUFATA MBALI NA KARIBU MUNGU AWABARIKI. AMEN

BONNE ANNÉE 2026

26/04/2026

KARIBU KATIKA MUKUTANO MKUU WA INJILI PAA 8é CEPAC CARMEL MJV

JEUDI LE 26.04.2026

MUNGU AKUBARIKI TENA SIKU YA LEO
AKUFANYE KICHWA , WAGONJWA WAPONE...

Revivez en images les temps forts de notre CULTE DOMINICALE   du 26. 04.2026Officiant : Ev MUSOKA KIGABILO AsserPrédicat...
26/04/2026

Revivez en images les temps forts de notre CULTE DOMINICALE du 26. 04.2026

Officiant : Ev MUSOKA KIGABILO Asser

Prédicateur : EV BYAMUNGU KUULIZA Jean

Thème : >

Référence biblique : WAFALME: 21:13-20
YOHANA : 3: 13
YOHANA : 1:2-11

1 Wafalme 21:13-20
13.Na hao watu wawili, watu wasiofaa, wakaingia, wakaketi mbele yake; wale watu wasiofaa wakamshuhudia Nabothi mbele ya watu, wakasema, Nabothi amemtukana Mungu na mfalme. Ndipo wakamchukua nje ya mji, wakampiga kwa mawe hata akafa.

14.Wakampelekea Yezebeli habari, wakasema, Nabothi amepigwa kwa mawe, amekufa.

15.Ikawa Yezebeli aliposikia ya kwamba Nabothi amepigwa kwa mawe na kufa, Yezebeli akamwambia Ahabu, Inuka, ulitamalaki shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli, alilokataa kukupa kwa fedha, maana Nabothi hako hai, lakini amekufa.

16.Ikawa Ahabu aliposikia ya kwamba Nabothi amekufa, akaondoka, alitelemkie shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli, ili alitamalaki.

17.Neno la BWANA likamjia Eliya Mtishbi, kusema,

18.Ondoka, ushuke, ukutane na Ahabu mfalme wa Israeli, akaaye katika Samaria; yuko katika shamba la mizabibu la Nabothi, ndiko alikoshukia ili alitamalaki.

19.Ukamwambie, ukisema, BWANA asema hivi, Je! Umeua, ukatamalaki? Nawe utamwambia, kusema, BWANA asema hivi, Mahali pale mbwa walipoiramba damu ya Nabothi, mbwa watairamba na damu yako, naam, damu yako.

20.Ahabu akamwambia Eliya, Je! Umenipata, ewe adui yangu? Akamwambia, Nimekupata, kwa sababu umejiuza utende yaliyo mabaya machoni pa BWANA.


Yohana 3:13
13.Wala hakuna mtu aliyepaa mbinguni, ila yeye aliyeshuka kutoka mbinguni, yaani, Mwana wa Adamu.

Yohana 1:2-11
2.Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.

3.Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.

4.Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.

5.Nayo nuru yang’aa gizani, wala giza halikuiweza.

6.Palitokea mtu, ametumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana.

7.Huyo alikuja kwa ushuhuda, ili aishuhudie ile nuru, wote wapate kuamini kwa yeye.

8.Huyo hakuwa ile nuru, bali alikuja ili aishuhudie ile nuru.

9.Kulikuwako Nuru halisi, amtiaye nuru kila mtu, akija katika ulimwengu.

10.Alikuwako ulimwenguni, hata kwa yeye ulimwengu ulipata kuwako, wala ulimwengu haukumtambua.

11.Alikuja kwake, wala walio wake hawakumpokea...

TUNASHUKURU MUNGU KWA WOTE WALIO TUFATA MBALI NA KARIBU

Service Multimédia 8e CEPAC CARMEL MJV

BONNE ANNÉE 2026

26/04/2026
26/04/2026

8eme CEPAC CARMEL MJV
KARIBU KATIKA IBADA YETU YA LEO DIMANCHE LE 26 AVRIL 2026

J-3Revivez en images les temps forts de Notre CROISADE ÉVANGÉLISATION du 25. 04.2026Officiant : Papa Martin BubalaPrédic...
26/04/2026

J-3
Revivez en images les temps forts de Notre CROISADE ÉVANGÉLISATION du 25. 04.2026

Officiant : Papa Martin Bubala

Prédicateur : Pasteur Éric KITABO MBILIZI

Thème : >

Référence biblique : 1 SAMUEL 16:14-24
1 SAMUEL 19:18-24

1 Samweli 16:14-24
14.Basi, roho ya BWANA ilikuwa imemwacha Sauli, na roho mbaya kutoka kwa BWANA ikamsumbua.

15.Nao watumishi wa Sauli wakamwambia, Angalia, sasa roho mbaya kutoka kwa Mungu inakusumbua.

16.Basi bwana wetu na atuamuru sisi watumishi wake waliopo hapa mbele yako watafute mtu aliye stadi wa kupiga kinubi; basi itakuwa, roho ile mbaya kutoka kwa Mungu itakapokujilia, yeye atapiga kinubi kwa mkono wake, nawe utapona.

17.Basi Sauli akawaambia, Vema, nitafutieni mtu aliye stadi wa kupiga kinubi, mkaniletee.

18.Ndipo akajibu mmoja wa watumishi wake akasema, Tazama, nimemwona mwana mmoja wa Yese, Mbethlehemi, aliye stadi wa kupiga kinubi, tena ni mtu shujaa, hodari wa vita, anenaye kwa busara, mtu mzuri, ambaye BWANA yu pamoja naye.

19.Basi Sauli akampelekea Yese wajumbe, akasema, Nipelekee Daudi mwanao, aliye pamoja na kondoo.

20.Yese akatwaa punda, wa kuchukua mikate, na kiriba cha divai, na mwana-mbuzi, akampelekea Sauli kwa mkono wa Daudi mwanawe.

21.Basi Daudi akamwendea Sauli, akasimama mbele yake, naye akampenda sana; naye akapata kuwa mtu wa kumchukulia silaha zake.

22.Kisha Sauli akapeleka watu kwa Yese, akasema, Tafadhali, mwache Daudi asimame mbele yangu; maana ameona kibali machoni pangu.

23.Ikawa, ile roho mbaya kutoka kwa Mungu ilipomjilia Sauli, ndipo Daudi akakishika kinubi, akakipiga kwa mkono wake, naye Sauli akaburudishwa, na ile roho mbaya ikamwacha...


1 Samweli 19:18-24

18.Hivyo Daudi akakimbia, akajiponya, akamwendea Samweli huko Rama, akamwambia hayo yote Sauli aliyomtenda. Kisha yeye na Samweli wakaenda na kukaa katika Nayothi.

19.Naye Sauli akaambiwa, kusema, Angalia, yule Daudi yuko katika Nayothi, huko Rama.

20.Basi Sauli akatuma wajumbe ili kumk**ata Daudi; nao hapo walipowaona jamaa ya manabii wakitabiri, na Samweli amesimama k**a mkuu wao, roho ya Mungu ikawajilia wajumbe wa Sauli, nao pia wakatabiri.

21.Naye Sauli alipoambiwa, alituma wajumbe wengine, wao nao wakatabiri. Naye Sauli akatuma wajumbe tena mara ya tatu, na wao pia wakatabiri.

22.Kisha yeye mwenyewe akaenda Rama, akafika kunako kile kisima kikubwa kilicho huko Seku; akauliza, akasema, Je! Wako wapi Samweli na Daudi? Na mtu mmoja akajibu, Tazama, wako Nayothi, huko Rama.

23.Basi akaenda Nayothi huko Rama, na roho ya Mungu ikamjilia yeye naye, akaendelea mbele, huku anatabiri, mpaka kufika Nayothi huko Rama.

24.Naye akavua nguo zake, akatabiri mbele ya Samweli, akalala uchi mchana kutwa na usiku kucha siku ile. Kwa hiyo watu husema, Je! Sauli pia yumo miongoni mwa manabii?


TUNASHUKURU KWA WOTE WALIO TUFATA MBALI NA KARIBU MUNGU AWABARIKI. AMEN

BONNE ANNÉE 2026

25/04/2026

KARIBU KATIKA MUKUTANO MKUU WA INJILI PAA 8é CEPAC CARMEL MJV

JEUDI LE 25.04.2026

MUNGU AKUBARIKI TENA SIKU YA LEO
AKUFANYE KICHWA , WAGONJWA WAPONE...

2Revivez en images les temps forts de Notre CROISADE ÉVANGÉLISATION du 24. 04.2026Officiant : Papa Martin BubalaPrédicat...
24/04/2026

2
Revivez en images les temps forts de Notre CROISADE ÉVANGÉLISATION du 24. 04.2026

Officiant : Papa Martin Bubala

Prédicateur : Pasteur Éric kitabo Mbilizi

Thème : >

Référence biblique : MATENDO YA MITUME 16:19-34

*Matendo ya Mitume 16:19-34*

19.Basi bwana zake walipoona ya kuwa tumaini la faida yao limewapotea, wakawak**ata Paulo na Sila, wakawakokota mpaka sokoni mbele ya wakuu wa mji;

20.wakawachukua kwa makadhi, wakasema, Watu hawa wanachafua sana mji wetu, nao ni Wayahudi;

21.tena wanatangaza habari ya desturi zisizokuwa halali kwetu kuzipokea wala kuzifuata, kwa kuwa sisi tu Warumi.

22.Makutano wote wakaondoka wakawaendea, makadhi wakawavua nguo zao kwa nguvu, wakatoa amri wapigwe kwa bakora.

23.Na walipokwisha kuwapiga mapigo mengi, wakawatupa gerezani, wakamwamuru mlinzi wa gereza awalinde sana.

TUNASHUKURU KWA WOTE WALIO TUFATA MBALI NA KARIBU MUNGU AWABARIKI. AMEN

BONNE ANNÉE 2026

24/04/2026

KARIBU KATIKA MUKUTANO MKUU WA INJILI PAA 8é CEPAC CARMEL MJV

JEUDI LE 24.04.2026

MUNGU AKUBARIKI TENA SIKU YA LEO
AKUFANYE KICHWA , WAGONJWA WAPONE...

Revivez en images les temps forts de Notre CROISADE ÉVANGÉLISATION du 23. 04.2026Officiant : Papa Martin BubalaPrédicate...
24/04/2026

Revivez en images les temps forts de Notre CROISADE ÉVANGÉLISATION du 23. 04.2026

Officiant : Papa Martin Bubala

Prédicateur : Pasteur Éric kitabo Mbilizi

Thème : >

Référence biblique : 1 SAMUEL :10-1-7
2 ROIS : 2:19-24

1 Samweli 10:1-7

1.Ndipo Samweli akatwaa kichupa cha mafuta, akayamimina kichwani pake, akambusu, akasema, Je! BWANA hakukutia mafuta [uwe mkuu juu ya watu wake Israeli? Nawe utamiliki watu wa BWANA, na kuwaokoa na mikono ya adui zao; kisha hii itakuwa ishara kwako ya kuwa BWANA amekutia mafuta]
uwe mkuu juu ya urithi wake.

2.Utakapoondoka kwangu leo, utakutana na wanaume wawili karibu na kaburi la Raheli, katika mpaka wa Benyamini huko Selsa; nao watakuambia, Punda hao uliokwenda kuwatafuta wameonekana; na tazama, baba yako ameacha kufikiri habari za punda, anafikiri habari zenu, akisema, Nifanye nini kwa ajili ya mwanangu?

3.Kisha utakwenda mbele kutoka hapo, na kufika kwa mwaloni wa Tabori, na hapo watu watatu watakutana nawe, wanaokwea kumwendea Mungu huko Betheli, mmoja anachukua wana-mbuzi watatu, na mwingine anachukua mikate mitatu, na mwingine anachukua kiriba cha divai;

4.nao watakusalimu na kukupa mikate miwili; nawe utaipokea mikononi mwao.

5.Baada ya hayo utafika Gibea ya Mungu, hapo palipo na ngome ya Wafilisti; kisha itakuwa, utakapofika mjini, utakutana na kundi la manabii wakishuka kutoka mahali pa juu, wenye kinanda, na tari, na kinubi, na filimbi mbele yao, nao watakuwa wakitabiri.

6.na roho ya BWANA itakujilia kwa nguvu, nawe utatabiri pamoja nao, nawe utageuzwa kuwa mtu mwingine.

7.Basi, hapo ishara hizi zitakapokutukia, fanya k**a uonavyo vema; kwa kuwa Mungu yu pamoja nawe...

2 Wafalme 2:19-24

19.Watu wa mjini wakamwambia Elisha, Angalia, twakusihi, mahali pa mji huu ni pazuri, k**a bwana wangu aonavyo; lakini maji yake hayafai, na nchi huzaa mapooza.

TUNASHUKURU WOTE WALIO TUFATA MBALI NA KARIBU MUNGU AWABARIKI

Service Multimédia 8è CEPAC CARMEL MJV

BONNE ANNÉE 2026

Adresse

Essence
Bukavu

Téléphone

+243994476249

Site Web

Notifications

Soyez le premier à savoir et laissez-nous vous envoyer un courriel lorsque 8 ème CEPAC CARMEL MJV. publie des nouvelles et des promotions. Votre adresse e-mail ne sera pas utilisée à d'autres fins, et vous pouvez vous désabonner à tout moment.

Contacter Le Lieu De Culte

Envoyer un message à 8 ème CEPAC CARMEL MJV.:

Partager