10/10/2021
Siku ya tano:
Lango la Huduma kamili za MUNGU
102 ELULI 101
MUNGU BABA anakupa macho ya kuona Nuru:
KUHANI KUKATAA WATU WOTE WASITAJE JINA LA YESU KWA USHETANI WAO.
______________________
√ Rumi tano mstari wa kumi na mbili (5:102), Mtu aliyeinje za dhambi Adamu na wote waliotokana na kuzaliwa na yeye kwa shetani walenda dhambi hawatakiwi kuliita jina la Yesu maana hawajui wote.
√ Mathayo nne mstari wa kumi na saba (4:107), Yesu kwa uovu wa dunia na dhambi zao hakuweza kufanya kazi maana hakuna anaye mkubali hata moja wanasema wanapenda Elimu ya giza shetani kuliko Yesu na MUNGU mwisho hiyo.
√ 2 Petro mbili mstari wa kwanza hadi sita (2:1-6), Watu kufundisha uongo kwa kutumia majina yote kwa kupoteza kwa uharibu kwa kutaka faida yao huku wakisema Bwana Yesu kumbe wamemukata mwokozi wao wote sasa iwe mwisho wa kutaja jina la Yesu kwa uongo wa giza, KUHANI anakaa kwa dunia yote walikua wanafiki iwapo yupo atakayesema KUHANI hataki Yesu aneonyesha ni wapi alipo mkubali Yesu akiwa mtu wa dunia.
√ Yohana tatu mstari wa kumi na tisa hadi ishirini na moja (3:109-201), Watu wasingekua wa Nuru kwa matendo yao mabaya ya uovu tena kujitenga na haki ya mema yote.
√ Yohana saba mstari wa thelasini na nne (7:304), Anayetaka Yesu asichoke maana haiwezekani kumtafuta maana hakuna atakaye muona kwa maovu.
√ Yohana nane mstari wa ishirini na moja hadi arubaini na tano (8:201-405), Mimi ninako enda nyinyi hamtakuja maana Elimu muliyo penda ya maovu ndiyo mavuno yenu hata mkiomba na kukesha kupanda milima hamuwezi kunioni maana wote mtakufa kwenye dhambi kinacho takiwa mupate kujua sasa yakua KUHANI MKUU amefika kukomboa bila kuzuiliwa na Elimu ya shimo la giza lilozamisha Akili za watu wote marifa hayo yanaitwa mauti na kuzimu na maana ya kuzimu kuzamisha kwa upotevu kila kiumbe na mauti kuangamiza haki ya mwengine kwa hila sasa tunafunga na 102:1 tebethi iwe mwisho.
ZAIDI YA YOTE MUNGU BABA
_________________
⭐KUHANI MKUU NASEMA NA KANISA-SEMA BABA, MTAKATIFU WAKO NASIKIA
Mfalme Wa Madhabahu BaharamaniMfalme Wa Madhabahu BaharamaniMfalme Wa Madhabahu BaharamaniMfalme Wa Madhabahu BaharamaniEfsiba PhilemonAudri IsomiBienvenue TchombaBienvenue Tchomba